Kinachojiri bungeni leo Ijumaa tarehe 14 Machi 2014

Kinachojiri bungeni leo Ijumaa tarehe 14 Machi 2014

Pamoja na wengine naomba kuutambua ushirikiano na mchango wa kbm kwa jioni hii.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu kwanini Lowassa aapishwe kufuatia viongozi wakuu walioko Bungeni?????
 
Mwenyekiti wa kudumu Sitta sasa anazungumza

...nimependa kauli yake Sitta, kuwa' MH.PANDU KIFICHO MWENYEKITI WA MUDA WA BUNGE LA KATIBA" ANA HEKIMA NA BUSARA, kwahiyo ataendelea kumtumia uzoefu wake kwenye kamati mbalimbali.
 
...nimependa kauli yake Sitta, kuwa' MH.PANDU KIFICHO MWENYEKITI WA MUDA WA BUNGE LA KATIBA" ANA HEKIMA NA BUSARA, kwahiyo ataendelea kumtumia uzoefu wake kwenye kamati mbalimbali.

Na azingatie kweli siyo kusema maneno tu.
 
kificho1.jpg

Mheshimiwa Pandu Amir Kificho:
Asante sana kwa Hekima na Busara jinsi ulivyoonyesha kiwango cha juu katika nafasi ya Mwenyekiti wa muda wa Bunge la Katiba.
 
kificho1.jpg

Mheshimiwa Pandu Amir Kificho:
Asante sana kwa Hekima na Busara jinsi ulivyoonyesha kiwango cha juu katika nafasi ya Mwenyekiti wa muda wa Bunge la Katiba.
Naungana na wewe kumpongeza mzee wetu hongera zake sana.
 
Kuna kitu wadau sijaelewa Jk anazindua Bunge na kuondoka zake au atazindua pamoja na kuhutubia? Hapa sijaelewa mambo yanaedaje.

Mmh, ndugu yangu umesoma mpaka la ngapi? Kuzindua ndio kuhutubia kwenyewe. Au wewe unaposema atazindua na kuondoka zake una maana gani ya 'kuzindua' kichwani mwako? Haendi pale kwenye mimbari na kuwatangazia wajumbe kwamba 'kuanzia sasa nimezindua Bunge la katiba' na kuondoka zake hapana. Atatoa nasaha zake na huko ndio kuzindua. Infact jambo atakalosisitiza ni wajumbe kuweka maslahi ya (makundi) vyama yao pembeni. Ingawa chama chake ndio wanaoongoza kwa kutanguliza maslahi yao mbele. Sijui huwa anawalenga nani anapoongelea kuweka maslahi ya taifa mbele na kuacha uachama. Huyu jamaa huwa napata shida sana kumwelewa!
 
Back
Top Bottom