Kinachokukera ni nini? Pilipili ipo shamba unawashwa na nini? Tuseme NI wivu au Roho mbaya Tu!

Kinachokukera ni nini? Pilipili ipo shamba unawashwa na nini? Tuseme NI wivu au Roho mbaya Tu!

Mnapokuwa katika mahusiano siku za mwanzo mnapeana ahadi chungu Tele, na hapo ndipo chanzo cha mimba, baada ya kuzoeana ndipo mnapoanza kufahamiana tabia na ndipo tabia za hasi na chanya kutokaa pamoja. Hatimae mnaachana na mwanamke ameshazaa, ndipo chanzo cha single mum! Tusiwanyanyapae, Labda sio chanzo NI yeye Labda NI mwanaume ndio chanzo, tusiwahukumu wote, tuwe ' fair ' pande zote
Ni kweli mkuu ilaaa
Binti,
Tolewa posa ndo utanue miguu, imeshindikana avae condom ndo mtanulie miguu, imeshindikana meza p2, imeshindikana basi umeamua kwa utashi wako kuzaa.
 
Inatokea kwa kutaka wenyewe na uzembe au tamaa.
Condom, vidonge, shindano na vijiti vya kuzuia mimba vipo.
Njia ya za asili kama kuchomoa nje, mzunguko wa hedhi na kujizuia kabisa vipo.
Single mum kuna walio olewa wakaachika Kwa sababu mbalimbali ktk maisha ya mke na mume na hao ambao wanaishi Kwa Kama wachumba Kwa miezi mitatu sita wanaachana, hao walitegemea wangeoana, wanastarehe pekupeku hatimae mimba
 
Inatokea kwa kutaka wenyewe na uzembe au tamaa.
Condom, vidonge, shindano na vijiti vya kuzuia mimba vipo.
Njia ya za asili kama kuchomoa nje, mzunguko wa hedhi na kujizuia kabisa vipo.
Single mum kuna walio olewa wakaachika Kwa sababu mbalimbali ktk maisha ya mke na mume na hao ambao wanaishi Kwa Kama wachumba Kwa miezi mitatu sita wanaachana, hao walitegemea wangeoana, wanastarehe pekupeku hatimae mimba
 
Single mum kuna walio olewa wakaachika Kwa sababu mbalimbali ktk maisha ya mke na mume na hao ambao wanaishi Kwa Kama wachumba Kwa miezi mitatu sita wanaachana, hao walitegemea wangeoana, wanastarehe pekupeku hatimae mimba
Mkuu mwanamke kuishi na mwanaume wazazi hawana taarifa ni umalaya. Ikitokea mimba mkaachana ni matokeo ya umalaya.
Kama mmependana kwanini msipelekane kwa wazazi?
 
Ni kitu cha kipumbavu Sana na cha kijinga na Roho mbaya Kwa baadhi ya watu kukejeli wanawake wenye watoto kuolewa.

Hiki kimejitokeza Sana wiki hii kufuatia Hamisa Mobeto kutolewa mahali na Aziz Ki.

Kumekuwa na maneno mengi ya kuwakejeli huyo bint na huyo kijana, kisa eti dada kazaa ana watoto wa wanaume wengine, wengine wamekuwa watabiri eti Ndoa hiyo haitadumu!

Wote wenye mtizamo hasi nawaambia kuwa HERI ya huyo aliyezaa na watoto wake wanajulikana kuwa NI wafulani.

Sidhani Kama kuna mtu anapenda matatizo hapa duniani, lakini inatokea Tu.

Binadamu ili azaliwe, NI kitendo cha kujamiiana mwanamke na mwanamme, na katika tendo Hilo Muumba aliamua mwanamke ndie abebe mimba. Lakini baadae kunakuwa na mahusiano hafifu yanayosababisha kutengana au kutokuoana baada ya kuzaa Mtoto.

Iweje kuwakebehi hao wanawake mbona hatushikilii mabango Kwa wanaume ambao tunawajua fika wamezaa na Wana watoto, mfano hao waliozaa na huyo Hamisa, mbona hamuwasemi kuwa hawafai kuona sababu Wana watoto tayari!

Kila mtu ana bahati yake uwezi kuizuia na Tusiwanyanyapae Akina mama sababu ya jinsia zao.
Asante studio
 
Single mum kuna walio olewa wakaachika Kwa sababu mbalimbali ktk maisha ya mke na mume na hao ambao wanaishi Kwa Kama wachumba Kwa miezi mitatu sita wanaachana, hao walitegemea wangeoana, wanastarehe pekupeku hatimae mimba
Hao walio olewa na kuachika tofauti na Hamisa.
Sitaki kuwahukumu wote nataka kupinga kumtetea Hamisa.
Huyo alijua kabisa Diamond yupo na mtu akakubali kushiriki naye ngono bila kuzuia mimba.
Kama alikosea kwa Majizzo kwanini alirudia kosa kwa Diamond?
 
Ni kitu cha kipumbavu Sana na cha kijinga na Roho mbaya Kwa baadhi ya watu kukejeli wanawake wenye watoto kuolewa.

Hiki kimejitokeza Sana wiki hii kufuatia Hamisa Mobeto kutolewa mahali na Aziz Ki.

Kumekuwa na maneno mengi ya kuwakejeli huyo bint na huyo kijana, kisa eti dada kazaa ana watoto wa wanaume wengine, wengine wamekuwa watabiri eti Ndoa hiyo haitadumu!

Wote wenye mtizamo hasi nawaambia kuwa HERI ya huyo aliyezaa na watoto wake wanajulikana kuwa NI wafulani.

Sidhani Kama kuna mtu anapenda matatizo hapa duniani, lakini inatokea Tu.

Binadamu ili azaliwe, NI kitendo cha kujamiiana mwanamke na mwanamme, na katika tendo Hilo Muumba aliamua mwanamke ndie abebe mimba. Lakini baadae kunakuwa na mahusiano hafifu yanayosababisha kutengana au kutokuoana baada ya kuzaa Mtoto.

Iweje kuwakebehi hao wanawake mbona hatushikilii mabango Kwa wanaume ambao tunawajua fika wamezaa na Wana watoto, mfano hao waliozaa na huyo Hamisa, mbona hamuwasemi kuwa hawafai kuona sababu Wana watoto tayari!

Kila mtu ana bahati yake uwezi kuizuia na Tusiwanyanyapae Akina mama sababu ya jinsia zao.
Sasa wewe kama kijana una akili sawa sawa utaoaje Hilo takataka Kila mtu amemwagia? Tena inajulikana ni zee? Limezalishwa,huyo sawa na kiporo.
 
Sasa single maza wakiolewa kinachowauma nini? Hamisa akikuambua umuoe utakataa?
Yaani Mimi nioe Malaya?

Achilia mbali Kumuona hiyo yaani siwezi kubali binti yangu aniletee mwanaume anaesuka nywele hata kama.ni Diamond.
 
Ni kitu cha kipumbavu Sana na cha kijinga na Roho mbaya Kwa baadhi ya watu kukejeli wanawake wenye watoto kuolewa.

Hiki kimejitokeza Sana wiki hii kufuatia Hamisa Mobeto kutolewa mahali na Aziz Ki.

Kumekuwa na maneno mengi ya kuwakejeli huyo bint na huyo kijana, kisa eti dada kazaa ana watoto wa wanaume wengine, wengine wamekuwa watabiri eti Ndoa hiyo haitadumu!

Wote wenye mtizamo hasi nawaambia kuwa HERI ya huyo aliyezaa na watoto wake wanajulikana kuwa NI wafulani.

Sidhani Kama kuna mtu anapenda matatizo hapa duniani, lakini inatokea Tu.

Binadamu ili azaliwe, NI kitendo cha kujamiiana mwanamke na mwanamme, na katika tendo Hilo Muumba aliamua mwanamke ndie abebe mimba. Lakini baadae kunakuwa na mahusiano hafifu yanayosababisha kutengana au kutokuoana baada ya kuzaa Mtoto.

Iweje kuwakebehi hao wanawake mbona hatushikilii mabango Kwa wanaume ambao tunawajua fika wamezaa na Wana watoto, mfano hao waliozaa na huyo Hamisa, mbona hamuwasemi kuwa hawafai kuona sababu Wana watoto tayari!

Kila mtu ana bahati yake uwezi kuizuia na Tusiwanyanyapae Akina mama sababu ya jinsia zao.
Labda kama wewe hufatiliii.....Single maza kuolewa ni kujitafutia Moto.

Tena single maza wa wababa zaidi ya mmoja 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom