Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ni kweli niko 34Samahani kuelimishana Tu, je, nikisema wewe NI under 35 old sijakosea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli niko 34Samahani kuelimishana Tu, je, nikisema wewe NI under 35 old sijakosea.
Mkuu fafanua hapo, NI mwanamke Tu NI Malaya au hii pia mwanaume naye NI Malaya? Yaani wote?Mkuu mwanamke kuishi na mwanaume wazazi hawana taarifa ni umalaya. Ikitokea mimba mkaachana ni matokeo ya umalaya.
Kama mmependana kwanini msipelekane kwa wazazi?
Sawa mkuu, wewe Kama mwanangu, Sisi Tumeyaona, haya NI maisha kadri unavyoishi utajifunza mengi, na Mungu akikujalia kufika above 55 utakuwa mzoefu WA maisha.Ni kweli niko 34
ndo maana DRC inagombaniwa,wasiojua wanailaumu DRC wenye akili tunawalaumu wanaoigombania,Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Mhh! Hapa mimi sina la kusema!Hao walio olewa na kuachika tofauti na Hamisa.
Sitaki kuwahukumu wote nataka kupinga kumtetea Hamisa.
Huyo alijua kabisa Diamond yupo na mtu akakubali kushiriki naye ngono bila kuzuia mimba.
Kama alikosea kwa Majizzo kwanini alirudia kosa kwa Diamond?
Hivi unafikiri ni rahis hivo? Dakika Moja kabla waajemi hawajawasili kujicontrol ni ngumuMkiambiwa mmwage nje mnalia.
Mwamba hana point nyngn zaidi ya hamisa 😂Your boyfriend is waiting for other niggas to finish talking about their careers and businesses so he can talk about Aziz Ki & Hamisa Mobetto.
View attachment 3237526
Katika kukumbushana tu.
Noma sana!Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Kha..😳Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Umeniacha hoi mwisho wa sentesMimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Wewe subiri ipo siku utaikumbuka hii commentUmeniacha hoi mwisho wa sentes
Mkuu, Jamii yetu imeamua kumuelewa mwanaume malaya na kumsamehe kwa umalaya wake ila si mwanamke.Mkuu fafanua hapo, NI mwanamke Tu NI Malaya au hii pia mwanaume naye NI Malaya? Yaani wote?
VILE ANASUBIR ZAM YA ZI ZI KI IISHEYour boyfriend is waiting for other niggas to finish talking about their careers and businesses so he can talk about Aziz Ki & Hamisa Mobetto.
View attachment 3237526
Katika kukumbushana tu.
Kabla sijatoa maoni yangu naomba kujua wewe Ke au Me.Ni kitu cha kipumbavu Sana na cha kijinga na Roho mbaya Kwa baadhi ya watu kukejeli wanawake wenye watoto kuolewa.
Hiki kimejitokeza Sana wiki hii kufuatia Hamisa Mobeto kutolewa mahali na Aziz Ki.
Kumekuwa na maneno mengi ya kuwakejeli huyo bint na huyo kijana, kisa eti dada kazaa ana watoto wa wanaume wengine, wengine wamekuwa watabiri eti Ndoa hiyo haitadumu!
Wote wenye mtizamo hasi nawaambia kuwa HERI ya huyo aliyezaa na watoto wake wanajulikana kuwa NI wafulani.
Sidhani Kama kuna mtu anapenda matatizo hapa duniani, lakini inatokea Tu.
Binadamu ili azaliwe, NI kitendo cha kujamiiana mwanamke na mwanamme, na katika tendo Hilo Muumba aliamua mwanamke ndie abebe mimba. Lakini baadae kunakuwa na mahusiano hafifu yanayosababisha kutengana au kutokuoana baada ya kuzaa Mtoto.
Iweje kuwakebehi hao wanawake mbona hatushikilii mabango Kwa wanaume ambao tunawajua fika wamezaa na Wana watoto, mfano hao waliozaa na huyo Hamisa, mbona hamuwasemi kuwa hawafai kuona sababu Wana watoto tayari!
Kila mtu ana bahati yake uwezi kuizuia na Tusiwanyanyapae Akina mama sababu ya jinsia zao.
Basi acheni kuwasimanga single maza.Hivi unafikiri ni rahis hivo? Dakika Moja kabla waajemi hawajawasili kujicontrol ni ngumu
Ukiwa kwenye 'denja' useme mapemaBasi acheni kuwasimanga single maza.
Mnadhani kutumia artificial ways za kuzuia mimba ni rahisi?
Kwa ninj wataachan na hawatazeeka pamoja?Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Me and above 55 oldKabla sijatoa maoni yangu naomba kujua wewe Ke au Me.
Ile chupi so ya kuipa mda we utaona tu kijana kanunua stress kwa fuso mbili za ng'ombeTumpe muda! Kama NI tabia yake tutaiona Tu, Bora uhai!