Ni kweli mkuu ilaaaMnapokuwa katika mahusiano siku za mwanzo mnapeana ahadi chungu Tele, na hapo ndipo chanzo cha mimba, baada ya kuzoeana ndipo mnapoanza kufahamiana tabia na ndipo tabia za hasi na chanya kutokaa pamoja. Hatimae mnaachana na mwanamke ameshazaa, ndipo chanzo cha single mum! Tusiwanyanyapae, Labda sio chanzo NI yeye Labda NI mwanaume ndio chanzo, tusiwahukumu wote, tuwe ' fair ' pande zote
Single mum kuna walio olewa wakaachika Kwa sababu mbalimbali ktk maisha ya mke na mume na hao ambao wanaishi Kwa Kama wachumba Kwa miezi mitatu sita wanaachana, hao walitegemea wangeoana, wanastarehe pekupeku hatimae mimbaInatokea kwa kutaka wenyewe na uzembe au tamaa.
Condom, vidonge, shindano na vijiti vya kuzuia mimba vipo.
Njia ya za asili kama kuchomoa nje, mzunguko wa hedhi na kujizuia kabisa vipo.
Single mum kuna walio olewa wakaachika Kwa sababu mbalimbali ktk maisha ya mke na mume na hao ambao wanaishi Kwa Kama wachumba Kwa miezi mitatu sita wanaachana, hao walitegemea wangeoana, wanastarehe pekupeku hatimae mimbaInatokea kwa kutaka wenyewe na uzembe au tamaa.
Condom, vidonge, shindano na vijiti vya kuzuia mimba vipo.
Njia ya za asili kama kuchomoa nje, mzunguko wa hedhi na kujizuia kabisa vipo.
Mkuu mwanamke kuishi na mwanaume wazazi hawana taarifa ni umalaya. Ikitokea mimba mkaachana ni matokeo ya umalaya.Single mum kuna walio olewa wakaachika Kwa sababu mbalimbali ktk maisha ya mke na mume na hao ambao wanaishi Kwa Kama wachumba Kwa miezi mitatu sita wanaachana, hao walitegemea wangeoana, wanastarehe pekupeku hatimae mimba
Tumpe muda! Kama NI tabia yake tutaiona Tu, Bora uhai!Hamisa ni demu wa kudinywa na kuachwa pale utagombana na wengi mnoo mtt mwenyewe mda wote katoa macho kwny walet
Kwanini waachane?Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Asante studioNi kitu cha kipumbavu Sana na cha kijinga na Roho mbaya Kwa baadhi ya watu kukejeli wanawake wenye watoto kuolewa.
Hiki kimejitokeza Sana wiki hii kufuatia Hamisa Mobeto kutolewa mahali na Aziz Ki.
Kumekuwa na maneno mengi ya kuwakejeli huyo bint na huyo kijana, kisa eti dada kazaa ana watoto wa wanaume wengine, wengine wamekuwa watabiri eti Ndoa hiyo haitadumu!
Wote wenye mtizamo hasi nawaambia kuwa HERI ya huyo aliyezaa na watoto wake wanajulikana kuwa NI wafulani.
Sidhani Kama kuna mtu anapenda matatizo hapa duniani, lakini inatokea Tu.
Binadamu ili azaliwe, NI kitendo cha kujamiiana mwanamke na mwanamme, na katika tendo Hilo Muumba aliamua mwanamke ndie abebe mimba. Lakini baadae kunakuwa na mahusiano hafifu yanayosababisha kutengana au kutokuoana baada ya kuzaa Mtoto.
Iweje kuwakebehi hao wanawake mbona hatushikilii mabango Kwa wanaume ambao tunawajua fika wamezaa na Wana watoto, mfano hao waliozaa na huyo Hamisa, mbona hamuwasemi kuwa hawafai kuona sababu Wana watoto tayari!
Kila mtu ana bahati yake uwezi kuizuia na Tusiwanyanyapae Akina mama sababu ya jinsia zao.
Sababu itajulikana siku wakiachana😀Kwanini waachane?
Tobaaaa. Na wedding day si ndio leo!?Kumeanza kuchangamka
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Hao walio olewa na kuachika tofauti na Hamisa.Single mum kuna walio olewa wakaachika Kwa sababu mbalimbali ktk maisha ya mke na mume na hao ambao wanaishi Kwa Kama wachumba Kwa miezi mitatu sita wanaachana, hao walitegemea wangeoana, wanastarehe pekupeku hatimae mimba
Sasa wewe kama kijana una akili sawa sawa utaoaje Hilo takataka Kila mtu amemwagia? Tena inajulikana ni zee? Limezalishwa,huyo sawa na kiporo.Ni kitu cha kipumbavu Sana na cha kijinga na Roho mbaya Kwa baadhi ya watu kukejeli wanawake wenye watoto kuolewa.
Hiki kimejitokeza Sana wiki hii kufuatia Hamisa Mobeto kutolewa mahali na Aziz Ki.
Kumekuwa na maneno mengi ya kuwakejeli huyo bint na huyo kijana, kisa eti dada kazaa ana watoto wa wanaume wengine, wengine wamekuwa watabiri eti Ndoa hiyo haitadumu!
Wote wenye mtizamo hasi nawaambia kuwa HERI ya huyo aliyezaa na watoto wake wanajulikana kuwa NI wafulani.
Sidhani Kama kuna mtu anapenda matatizo hapa duniani, lakini inatokea Tu.
Binadamu ili azaliwe, NI kitendo cha kujamiiana mwanamke na mwanamme, na katika tendo Hilo Muumba aliamua mwanamke ndie abebe mimba. Lakini baadae kunakuwa na mahusiano hafifu yanayosababisha kutengana au kutokuoana baada ya kuzaa Mtoto.
Iweje kuwakebehi hao wanawake mbona hatushikilii mabango Kwa wanaume ambao tunawajua fika wamezaa na Wana watoto, mfano hao waliozaa na huyo Hamisa, mbona hamuwasemi kuwa hawafai kuona sababu Wana watoto tayari!
Kila mtu ana bahati yake uwezi kuizuia na Tusiwanyanyapae Akina mama sababu ya jinsia zao.
Yaani Mimi nioe Malaya?Sasa single maza wakiolewa kinachowauma nini? Hamisa akikuambua umuoe utakataa?
HeheheYaani Mimi nioe Malaya?
Achilia mbali Kumuona hiyo yaani siwezi kubali binti yangu aniletee mwanaume anaesuka nywele hata kama.ni Diamond.
Ukorofi tu umekujaa.Sababu itajulikana siku wakiachana😀
It is all about principles hivyo tuu .Hako kajinga sio mda kataanza kuomba ushauri 😁😁Hehehe
DuuuuuuuuuuuuuhIt is all about principa hivyo tuu .Halo kajinga sio mda kataanza kuomba ushauri 😁😁
Kamuulize mama Ki kama mwanamke Je anataka mtoto wake aoe huyo Malaya ? Atakupa majibu.
Labda kama wewe hufatiliii.....Single maza kuolewa ni kujitafutia Moto.Ni kitu cha kipumbavu Sana na cha kijinga na Roho mbaya Kwa baadhi ya watu kukejeli wanawake wenye watoto kuolewa.
Hiki kimejitokeza Sana wiki hii kufuatia Hamisa Mobeto kutolewa mahali na Aziz Ki.
Kumekuwa na maneno mengi ya kuwakejeli huyo bint na huyo kijana, kisa eti dada kazaa ana watoto wa wanaume wengine, wengine wamekuwa watabiri eti Ndoa hiyo haitadumu!
Wote wenye mtizamo hasi nawaambia kuwa HERI ya huyo aliyezaa na watoto wake wanajulikana kuwa NI wafulani.
Sidhani Kama kuna mtu anapenda matatizo hapa duniani, lakini inatokea Tu.
Binadamu ili azaliwe, NI kitendo cha kujamiiana mwanamke na mwanamme, na katika tendo Hilo Muumba aliamua mwanamke ndie abebe mimba. Lakini baadae kunakuwa na mahusiano hafifu yanayosababisha kutengana au kutokuoana baada ya kuzaa Mtoto.
Iweje kuwakebehi hao wanawake mbona hatushikilii mabango Kwa wanaume ambao tunawajua fika wamezaa na Wana watoto, mfano hao waliozaa na huyo Hamisa, mbona hamuwasemi kuwa hawafai kuona sababu Wana watoto tayari!
Kila mtu ana bahati yake uwezi kuizuia na Tusiwanyanyapae Akina mama sababu ya jinsia zao.
Natania tu banaUkorofi tu umekujaa.
Samahani kuelimishana Tu, je, nikisema wewe NI under 35 old sijakosea.Labda kama wewe hufatiliii.....Single maza kuolewa ni kujitafutia Moto.
Tena single maza wa wababa zaidi ya mmoja 🤣🤣🤣