Kinachokukera ni nini? Pilipili ipo shamba unawashwa na nini? Tuseme NI wivu au Roho mbaya Tu!

Mkuu mwanamke kuishi na mwanaume wazazi hawana taarifa ni umalaya. Ikitokea mimba mkaachana ni matokeo ya umalaya.
Kama mmependana kwanini msipelekane kwa wazazi?
Mkuu fafanua hapo, NI mwanamke Tu NI Malaya au hii pia mwanaume naye NI Malaya? Yaani wote?
 
Ni kweli niko 34
Sawa mkuu, wewe Kama mwanangu, Sisi Tumeyaona, haya NI maisha kadri unavyoishi utajifunza mengi, na Mungu akikujalia kufika above 55 utakuwa mzoefu WA maisha.
Maisha ya ujana haswa uswahilini mijini, maisha vijana kukalishana unyumba NI suala lililozoeleka na ndipo Ndoa zingine zinapoanzia na watu wakaishi mke na mume Hadi kifo. Lakini kuna wengine NI Leo kakaa na huyu na kesho kakaa na Yule, hii NI Kwa mwanamke na mwanaume, Kwa iyo Kama NI Malaya basi NI wote sio kubagua msichana pekee kwani neno Malaya ili likamilike lazima kuwa na jinsia zote mbili. Kwa iyo nakushauri Fanya tafiti, Sisi tulioishi uswahilini sio kitu kigeni, tafiti maisha ya uswahilini baadae njoo na ushahidi.
 
Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
ndo maana DRC inagombaniwa,wasiojua wanailaumu DRC wenye akili tunawalaumu wanaoigombania,
 
Mhh! Hapa mimi sina la kusema!
Samahani Mimi lengo la Uzi huu si kumtetea Hamisa Bali ni Kwa Akina mama wenye watoto bila ya wanaume, ila Hamisa amekuwa mhusika kipindi Hiki.
 
Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Umeniacha hoi mwisho wa sentes
 
Mkuu fafanua hapo, NI mwanamke Tu NI Malaya au hii pia mwanaume naye NI Malaya? Yaani wote?
Mkuu, Jamii yetu imeamua kumuelewa mwanaume malaya na kumsamehe kwa umalaya wake ila si mwanamke.
 
Kabla sijatoa maoni yangu naomba kujua wewe Ke au Me.
 
Mimi sina tatizo.na single mazas kuolewa. Wanaolewa sana na ni jambo zuri. Hongera zake Hamisa kwa kuolewa...sina wivu lakini wataachana tu.
Kwa ninj wataachan na hawatazeeka pamoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…