Kinachomkuta Harmonize kurudiana na Kajala si kipya katika ulimwengu wa mapenzi

Kinachomkuta Harmonize kurudiana na Kajala si kipya katika ulimwengu wa mapenzi

"Tena ni fundi wa kuchanua utasema samaki Ng'onda"
"Hapo ndiyo nikagundua nini kiliwaliza MAKONDA, wa daladala ,mi nashindwa kulala lala, hana mbadala dala, anaitwa Kaja....."

Nasikia Makonda alitoa machozi hapo mzee, Harmonize kamtaja kwa fasihi..

"Mtihani wa mapenzi hakuna alifuzu,
Ni sawa na unywe pombe na useme una uzu,
Mtu ukishapenda unakuwa zuzu.."
 
"Hapo ndiyo nikagundua nini kiliwaliza MAKONDA, wa daladala ,mi nashindwa kulala lala, hana mbadala dala, anaitwa Kaja....."

Nasikia Makonda alitoa machozi hapo mzee, Harmonize kamtaja kwa fasihi..

"Mtihani wa mapenzi hakuna alifuzu,
Ni sawa na unywe pombe na useme una uzu,
Mtu ukishapenda unakuwa zuzu.."
...awe mama zuzuu..kama unamjuaa mtajeee
 
Kuna muda huwa naelewa why wasanii huwa wanafika stage ya kujiua ni sababu WAO WANAISHI KWENYE ULIMWENGU AMBAO WATU WANAAMINI MAISHA YAO NI KIKI hakuna anaewachukulia serious when comes kwenye matatizo hili la harmonize ni jepesi na ni ujinga ila wapo wanaopitia makubwa sana ndo maana mbele wasanii wanajiua sana msanii kama AVICCI na ukubwa wake alicommit suicide.
 
Kuna choko mmoja wa wasafi nimeona anamsagia konde kunguni balaa sijui anaitwa nani design fulani bwabwa hivi.... yaani ukimsikia unaweza mtwanga kitu kizoto au chenye ncha.
Nimelioata jina Juma Lokele ni kinyesi aisee.
 
Kuna choko mmoja wa wasafi nimeona anamsagia konde kunguni balaa sijui anaitwa nani design fulani bwabwa hivi.... yaani ukimsikia unaweza mtwanga kitu kizoto au chenye ncha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom