Kinachomkuta Harmonize kurudiana na Kajala si kipya katika ulimwengu wa mapenzi

Kinachomkuta Harmonize kurudiana na Kajala si kipya katika ulimwengu wa mapenzi

Hapo wanawake ndio huvimba balaa aisee ,yaan kajala hapa kapaishwa balaa ingawa naamin atarud tu kwa konde boy
 
hivi wasanii hawawezi kunyanduana kimya kimya mpaka iwe ishu mitandaoni? aisee maisha magumu sana haya , mbona wabunge wananyanduana kwa kwenda front lakini walaaaa husikii sijui fyokoooo, nadhani elimu pia ina matter kwa sanaa zetu hizi za standard seven za kina mondi na konde
 
Huyo manzi alimsumbua sana Majani miaka ile.

Walipoachana produzer alipoteza hata focus ya kupiga midundo pale BR na akatoa songi la kuomba sorry akiwa na Dully nadhani ilikuwa inaitwa Please forgive me.

Yani majani na ubabe wake wote alikuwa mnyonge sana na kuomba sana misamaha akaenda chora na matatoo mikononi ili kujifariji lakini manzi alikaza mbaya.

Nahisi huyu Konde asipotuliza akili anaweza akaharibu kazi kama manzi hatarudisha moyo nyuma.
Duh..!
Itakuwa huyo mama anajua kufinyia ndani[emoji39]
 
The unstoppable musician,The musician with megahit songs,The favorite musician of everyone who loves good music in Tanzania and East Africa in General, Harmonize,I pray to this dude to reunite with his old lover so that he can't get depression.View attachment 2172998
Baada ya kupigwa parefu na Briana kisha akasepa sasa anamkumbuka Msukuma, akumbuke ameshamuonyesha 'mwanae' dudu kupitia video call mpaka mama mkwe kaliona.

Wengine tulivyokuwa makuzi ndumu haikuwa ikitupelesha dizaini inavyompelekesha huyu dogo, labda na yeye anataka amtaimu demu ategeshe kamera aweze kulipiza kisasi.

Kama yuko serious basi anahitaji psychiatrist apate therapy ya nguvu, sijui management haimshauri au dogo hashauriki.
 
Back
Top Bottom