Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
Siyo dawa, kuna wanawake wanadatisha tu, ndiyo asili yao.Nilikula moja tabata tena mke ya mtu jamaa alimsogeza hakujua mm mtumbad nilukutanaa nanchungu cua moto saa moja nlipiga goli 4 sijui ana dawa
TrueSiyo dawa, kuna wanawake wanadatisha tu, ndiyo asili yao.
Bora uwe mkweliMimi na harmonize hatutofautiani[emoji18]
NakubaliiKuna wanawake ni watamu asikwambie mtu. Usije ukamshangaa sana mtu ambaye amekataa kuacha koloni lake.
MILF = Mother I'd Like to https://jamii.app/JFUserGuideBakhresa ameleweshwa kimapenzi na huyo Milf (Kajala)
Huyo manzi alimsumbua sana Majani miaka ile.
Ndio usanii huoHivi dogo kama konde boy kutembea na lijimama lililo jichokea kama kajala ni sawa kweli?
Duh..!Huyo manzi alimsumbua sana Majani miaka ile.
Walipoachana produzer alipoteza hata focus ya kupiga midundo pale BR na akatoa songi la kuomba sorry akiwa na Dully nadhani ilikuwa inaitwa Please forgive me.
Yani majani na ubabe wake wote alikuwa mnyonge sana na kuomba sana misamaha akaenda chora na matatoo mikononi ili kujifariji lakini manzi alikaza mbaya.
Nahisi huyu Konde asipotuliza akili anaweza akaharibu kazi kama manzi hatarudisha moyo nyuma.
Africasanaharmonize n msanii mkubwa Africa...?
Africa ipi..?
Wachache sana wanaojua hili...
Baada ya kupigwa parefu na Briana kisha akasepa sasa anamkumbuka Msukuma, akumbuke ameshamuonyesha 'mwanae' dudu kupitia video call mpaka mama mkwe kaliona.The unstoppable musician,The musician with megahit songs,The favorite musician of everyone who loves good music in Tanzania and East Africa in General, Harmonize,I pray to this dude to reunite with his old lover so that he can't get depression.View attachment 2172998