Kinachomsumbua Luhaga Mpina ni ukabila na chuki binafsi kwa Rais Samia

Vijana wa namna yako wana mchango mdogo sana kwenye ujenzi wa hii nchi ya Tanganyika nisijue huko Visiwani
 
yes nyinyi machawa na vikongwe wenu mnajua kweli kupotezea ukweli ila hamna elimu pana ya kufahamu kuhusu mida mibaya. huwa nataman ningekuwa kiongoz kweny chama chenu nadhan tusingefika huku kutokana na nature ya mtanzania hamjui hata kuwafumba macho mnaendekeza utapeli. pumbav kabisa.
 
Mshana huyo ni nyumbu ana nini cha maana
kuna muda natamani tujuane humu ili kuweza kufananisha ukosa akil wa humu jf na nje ya jf kama unafanana, bt ushajiuliza kwann wengi hawajapendezwa na hoja yako na wakat ni miongon mwa watanzania, na mama yenu kama ataendelea kushauri na machawa mfano wako, ndo ataandka rekodi ya kuchukiwa kati ya all former presidents.
 
Huwezi ukawa kiongozi wa chama chochote kile. Labda uongoze wajinga wenzako.
 
Ushaanza na weee, acha makasiriko, Luaga ni mbara anauchungu
 
Nyinyi ndo mnataka kuharibu nchi yetu. Ole wenu na tumeshawafahamu. Yesu na hata Mtume Muhamadi walikuwa wanaulizwa au kukoselewa na wafuasi wao. Iweje leo Rais hakosei ni uchawa tuu kila kona? Tujitafakari.
 
Hivi nimjibu nini' mtu anayeitwa 'zinjanthropaz' ilihali naijua maana yake?!!!
 
Hivi nimjibu nini' mtu anayeitwa 'zinjanthropaz' ilihali naijua maana yake?!!!
anhaa umekuja kumtetea nesi wako mkuu, ila mwambie aspende kubishana na ukweli wa watu, amuulze zuhura omar kule mbeya huo ni mwanga tu ukileta uchawa kwenye mambo siriazi lazma tukwambie
 
Hayati JPM alimuamini Mpina akampa uwaziri lakini baadae akaja kugundua kuwa jamaa kidogo dishi limeyumba akaamua kuachana nae.

Ni mtata sana huyu mheshimiwa.
 
Nyinyi ndo mnataka kuharibu nchi yetu. Ole wenu na tumeshawafahamu. Yesu na hata Mtume Muhamadi walikuwa wanaulizwa au kukoselewa na wafuasi wao. Iweje leo Rais hakosei ni uchawa tuu kila kona? Tujitafakari.
Unaelewa maana ya kukosoa?
 
Huyu bwege nae, kila siku hicho hicho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…