Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,448
Reaction score
7,972
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
 
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
Kaazi kwelikweli. Vizawadi unapenda, dinner unapenda, ila kutongozwa unakerwa. Naona kama haviendani kiviiile
 
Kaazi kwelikweli. Vizawadi unapenda, dinner unapenda, ila kutongozwa unakerwa. Naona kama haviendani kiviiile
Kutongozwa lazima viendane na mazingira na muda,hapo utaeleweka la sivyo hamna
 
Mbona wenzako asubuhi ndio wanakuwaga warahisi sana?

Asubuhi moja mwanamke wa nyumba ya pili namwona katoka na mswaki huku kafunga kanga kwenye maziwa, mimi huyoo nikaanza kumtania na kusifia wowowo lake.
Kidogo tu kamaliza kuswaki huku mimi nikichanganya na ishara za kumuhitaji anipe kimoja cha uchovu,,,, nikamtania imesimama mara akataka kuiona

Kwa kuwa sinaga aibu nikaishika ikiwa ndani ya bukta na kumwonyesha unene wake.... Utaniutani mtoto huyo kazama getini na kanga yake
 
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
Nawew upo makini kusikiliza mtongozo
 
sawa wamekusikia ila mkuu upend kutongozwa asubuh unapendwa kutolewa out dinner je akikutoa asubuh breakfast ukapate? ndo utatongozeka
Ukinitoa breakfast stories zijikite mambo mengine hapo tutaendana
 
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
Nadhani huwa ukikutana nao asubuhi hawarudi tena..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
siku njema huonekana asubuhi" pia " biashara asubuhi jioni hesabu" nadhani wahenga hawakuwa mbali na mtongozaji.
 
Nawew upo makini kusikiliza mtongozo
Ndio tena nasikiliza unavyojing'atang'ata,nakuasses unachokiongea,ulivyovaa,viatu,shati ,nywele na namna unavyoongea,hii huwa ni interview tosha
 
Mbona wenzako asubuhi ndio wanakuwaga warahisi sana?

Asubuhi moja mwanamke wa nyumba ya pili namwona katoka na mswaki huku kafunga kanga kwenye maziwa, mimi huyoo nikaanza kumtania na kusifia wowowo lake.
Kidogo tu kamaliza kuswaki huku mimi nikichanganya na ishara za kumuhitaji anipe kimoja cha uchovu,,,, nikamtania imesimama mara akataka kuiona

Kwa kuwa sinaga aibu nikaishika ikiwa ndani ya bukta na kumwonyesha unene wake.... Utaniutani mtoto huyo kazama getini na kanga yake
Huyo ni mtani wako
 
Nadhani huwa ukikutana nao asubuhi hawarudi tena..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huwa wanadhan nawadharau lakini muda huo huwa nawaza mambo mengine kabisaa
 
Back
Top Bottom