Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

Yaani upelekwe out ,upewe dinner nzito + muda mtu aliopoteza...
Hivi wanaume wengine wanakwama wapi?
Mbona wengine tunapata pisi kali kali kitaa bila upuuzi wote huo..

Tena unaweza kukuta mtoa maada hana hata chura na anataka zawadi..
Sasa zawadi ya nini wakati huna chura??
 
[emoji23][emoji23][emoji23] alaaaah kumbeeeer
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
 
Ungekuwa umeolewa jamaa asingekuja getini, ila kwa kuwa bado uko single ngoja vjana wajaribu,

Vumilia bado uko fire,, ukifika 40 yrs mvuto utaisha na hutosombuliwa tena,
 
Tatizo we ni sista du,popote mutu anatongoza tu,monie,jioni,sasa unataka utongozwe saa ngapi?
Kwanza kesho ramadhani leo,tongozo mwisho.
Na ukifanya mchezo utakosa nguo za sikukuu,we lete mbwembwe tu.
 
cutelove ameleta ujumbe hapa usio wa moja kwa moja kwamba wale wote wanaomvamia chemba huko waache na watafute muda muafaka
 
Weekend hii itabidi nichukue hili jukumu la kwenda out nawe.
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi

Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa

Au unaamka tu wakati unaswaki unaletewa taarifa kuna mtu anakuita getini ,kwenda unasikia anaanza stories za kukutongoza,dah huwa najisikia vibaya mpaka basi bora wa kunitongoza kwa njia ya sim au SMS maana najijua stajibu

Huwa nakuwa makini kusikiliza mitongozo yake pale utakapo nitoa out hasa jioni kuanzia SAA 12 hadi SAA mbili,na ukanipa dinner inayoeleweka ,wakati nakula unaniambia hizo stories,hapo huwa nipo makini kukusikiliza na sio kwamba ndo nimekukubalia ,kukubalia ni suala lingine

Na ili uonekane upo serious,vizawadi vikiwa vingi hapo utakuwa umeanza kuingia moyoni

Mambo mengine hayahitaji uingie darasani bwana!!!

Acheni mambo ya kututongoza asubuhi,tunachukia sana
 
Tulia utongozwe mkuu jioni ni mida ya kula mzigo uliotongozwa asubuhi
 
Back
Top Bottom