Kinachonikera Mimi mwanamke ni mitongozo ya asubuhi

Wauza K inaonekana siku hizi kwenye madanguro hapalipi tena mmekuja na altenative nyingine.
Hivi usawa huu badala ya ninunue bati na nondo eti nianze kukutoa out ili unisokilize vizur wakati mtaani unatongoza asubuhi jion unapata papa.
 
Tunachukia au ninachukia maana usichokipenda wewe siyo lazima kichukiwe na maduu wengine..
 
Mnatongozwa asubuhi sababu ya vile mnavyojiweka...

Unakuta mwanamke anajijua yupo vizuri alafu asubuhi asubuhi na vinguo vya uchokozi kwa nini usitongozwe...



Cc: mahondaw
 
Mmmh hapa kuna Agenda ya siri.. Unamtafuta wa kukutoa dinner¿
 
Haya nakuja pm.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtongozo lazima uambatanishwe na viambatanisho bwana.
 
Utakuwa unajirahisisha sana so wanaokutokea wote wanaamini wewe ni maharage ya mbeya ....
 
chambo ziwe nyingi ili samaki avulie😉😉😉😉😉
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtongozo lazima uambatanishwe na viambatanisho bwana.
 
Hahaa ha haa
 
Wauza K inaonekana siku hizi kwenye madanguro hapalipi tena mmekuja na altenative nyingine.
Hivi usawa huu badala ya ninunue bati na nondo eti nianze kukutoa out ili unisokilize vizur wakati mtaani unatongoza asubuhi jion unapata papa.
Haha ..dah !!! Jf manina
 
Ha Hahaha!
 
Ivi huna mambo mengine ya msingi..
 
Aaaa kumbe ...... Tumekoma haturudii tena
 
hakuna MUDA maaluma wa kutongoza, hiyo ni SAA, dakika na sekunde yeyote, ila huko kwenye zawadi mhhhhh kukubaliwa kwa wingi WA zawadi doh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…