Kinachotushinda Wabantu kuchora na kupanga miji ni nini?

Ustaarabu bado sana bongo. Hii nchi kila mtu anajipangia tu na kuweka frame kila sehemu. Nchi nzima imegeuka kuwa frames tu.

Njia pekee ni serikali au private sectors kudevelop neighborhoods/subdivision zikiwa zimekamilika na kuwauzia raia ili watu wasifanye ujenzi wanavyotaka wao. Kadhalika wapewe terms za nini na nini wanaweza kufanya au kutofanya kwenye hizo new subdivisions. Changamoto kubwa vipato bado vidogo watu kununua nyumba through mortgage, wamezoea kujenga kwa miaka 20 kwa kudunduliza.
 
Na mimi nachomekea ,sio mtaalamu wa ujenzi( najitetea mapema kabisa).Hivi wanapotengeneza mamitaro mjini halafu hawayafuniki huwa wana maana gani hawa watu?! Sielewi aisee.
 
Ulafi wa serikali. Kiwanja cha 3m wakipima watataka wakuuzie 10m. Bora mkatafute nje maporini muanzishe mji wa mabanda(Slum)
 
Kuvuka barabara tu ndio tunaweza 😄😄
 
Mkuu sa kazi ya maafisa ardhi ni nini? Malengo ya Wizara ni kutatua migogoro tu bas lakini uchoraji na upimaji mtajua wenyewe au siyo?
 
Na mimi nachomekea ,sio mtaalamu wa ujenzi( najitetea mapema kabisa).Hivi wanapotengeneza mamitaro mjini halafu hawayafuniki huwa wana maana gani hawa watu?! Sielewi aisee.
Afu dunia ya sasa mitaro inakula sana nafasi ya barabara, kwa miaka hii 2000 mitaro ilitakiwa ipite chini kwa chini tu. Kwanza unaepusha mengi
 
Reactions: EEX
Nina jirani zangu washenzi wameuziana maeneo kienyeji mpaka wamezibiana na kukosa njia sasa wanakuja kwangu kulazimisha njia wakati eneo langu nimelipima na lina hati.. Nilichofanya nimewafungia kila kona watajuana na waliowauzia huko
 
Tulikosea sana kuwaondoa wakoloni weupe.wangekuwepo Hadi Sasa miji yetu Ingekuwa imepangika vizuri na kuvutia .Mfano ukiangalia masaki,mikocheni,upanga,posta kote huko walipanga wakoloni lakini linganisha na mwananyamala,buguruni,tandika,mbagala ambako walipanga waafrika.
 
Siku kondoo wakijuwa kutumia vyoo, kila kitu watakiweza.

Unauliza swali kubwa namna hilo kwa kondoo ambao mpaka leo hawajuwi namna ya kutumia choo?


tafadhali watendee haki.
 
Mambo ya Keko, Mbagala ndio zao
Nina jirani zangu washenzi wameuziana maeneo kienyeji mpaka wamezibiana na kukosa njia sasa wanakuja kwangu kulazimisha njia wakati eneo langu nimelipima na lina hati.. Nilichofanya nimewafungia kila kona watajuana na waliowauzia huko
 
Mkuu angalia South Africa ilivyo, matunda ya Wazungu. Kwa Tanganyika Nyerere alifeli hapo tu, kuwaondoa kabla hatujajiweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…