Kinachowapeleka wanajeshi wetu Congo na kwingineko kulinda amani ni pesa na si kingine

Kinachowapeleka wanajeshi wetu Congo na kwingineko kulinda amani ni pesa na si kingine

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Tanzania ni mshiriki wa jumuia kadhaa za kimataifa na kikanda.
Hivyo tumesaini mikataba kadhaa wa kadhaa kwa shinikizo la mabwana zetu.
Hao mabwana zetu ambao hugharamia Kila kitu tunapokwenda Congo, Sudan na kwingineko kulinda amani.
Pia kwa kufanya hivyo tunapokea misaada ya zana za kivita Ili kuimariaha jeshi letu na fedha pia.
Kwahiyo naomba nieleweke kuwa kinachowapeleka wanajeshi wetu Congo na kwingineko si upendo bali pesa.
Ni pesa tu hakuna kingine.
Pesa , pesa, pesa
Pesa Mungu anakuona.
 
Tanzania ni mshiriki wa jumuia kadhaa za kimataifa na kikanda.
Hivyo tumesaini mikataba kadhaa wa kadhaa kwa shinikizo la mabwana zetu.
Hao mabwana zetu ambao hugharamia Kila kitu tunapokwenda Congo, Sudan na kwingineko kulinda amani.
Pia kwa kufanya hivyo tunapokea misaada ya zana za kivita Ili kuimariaha jeshi letu na fedha pia.
Kwahiyo naomba nieleweke kuwa kinachowapeleka wanajeshi wetu Congo na kwingineko si upendo bali pesa.
Ni pesa tu hakuna kingine.
Pesa , pesa, pesa
Pesa Mungu anakuona.
Kwahiyo naomba nieleweke kuwa kinachowapeleka wanajeshi wetu Congo na kwingineko si upendo bali pesa.
Ni pesa tu hakuna kingine.
Pesa , pesa, pesa
Pesa Mungu anakuona.👌🏿💪🏿
 
Sio wote usijumuieshe chambua kidogo kama uelewi kitu uliza ueleweshe utaratibu upoje?
 
Wanajeshi unataka walale makambini wakati kiapo chao ni VITA YA BUNDUKI.

Wanaenda kupata uzoefu katika uwanja wa vita. Wewe kama unazani jeshi kazi yake ni kuvaa gwanda na kubrashi viatu achana na mawazo ya kuwa mwanajeshi katafute kazi nyingine.

Jeshi ni wito na kifo ni ada. Sasa wewe kama unaona hizo hela zinathamani ya uhai nenda na wewe ukalinde amani.
 
Ipo hivi

Inapotea oder kwamba askari wanaitajika kwenda nje ya nchi fulani kulinda amani makarani wanachambua majina na kupendekeza watu fulani waende hapo wapo askari ambao hawajaomba au kupiganisha kwenda uko majina yale yanapo toka mtu akajiona hayupo na yeye ana hitaji kwenda kwasababu zake binafsi mfano pesa kupata uzoefu ndio anapiganishia ili aende uko

Ikitokea jina lako limekuwa mentioned ni lazima uende jeshini hakuna HAPANA ni NDIYO

Msifikilie negative mda wote
 
Congo siyo Sudan , M23 wanatembeza kichapo kwelikweli hawatanii wale jamaa unaenda kwaajili ya pesa unarudi ukiwa unapigiwa saluti ndani ya jeneza
 
Congo siyo Sudan , M23 wanatembeza kichapo kwelikweli hawatanii wale jamaa unaenda kwaajili ya pesa unarudi ukiwa unapigiwa saluti ndani ya jeneza
Ndo kazi waliyoitiwa. No way out lazma wahussle huko
 
Si mlikuwa mnawasema wanakula machapati pale kwao kwenye nyumba za full suit? Acha wakafanye kazi
 
Back
Top Bottom