Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni umbea angekua hana mchango asingeitwa kwenye kikosiMuacheni dingi ale penshen yake .. Aliipigania timu yake kwa jasho na damu.
Hapo ndo ulipoharibu mkuu, kwenye soka, ni kweli umri haudanganyi...huko kwa sisiemu, sidhani kama umri unahusika, Makinda, Kinaana etc umri bado?Yaani ni kama tu ulivyo utawala wa ccm katika nchi yetu! Na wenyewe ni suala tu la muda, utahamia Burundi.
Shit head hujaelewa nilichoandika unakimbilia kuleta hisia zako.Acheni umbea angekua hana mchango asingeitwa kwenye kikosi
wewe ndio ume elewa? Mazaf**@Shit head hujaelewa nilichoandika unakimbilia kuleta hisia zako.
Hakuna kitu kama hicho mkaa benchi kupaishwa labda uwe supersub.Kwasasa CR7 ndio Ureno, acheze asicheze wakitwaa kikombe Yeye ndie ata paishwa haijalishi mazingira.
HHuna tofauti na kipofu Mana umesoma ila hujaelewa 🤣.wewe ndio ume elewa? Mazaf**@