Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubongo ukikosa kitu inacho kitaka inadegrade mwili, ili wenyewe uwe hai maana inacho kiharibu inauwezo wa kukiunda tena, kifo cha mtu huanzia miguuni cell nyingi hufa mtu hali hai ubongo ndo wa mwisho,na ni baad ya kumstopisha moyo kwa maana ameanza kupumb damu chafu, mtu anaweza kakaa mpaka dak 12 mpak masaa kadhaha ubongo uko hai , mwisho softeware inaon huu mwili ushauwa taka taka inaukataaHata kisayansi Ubongo ndio unakufa.
Ubongo ndio unaanza kufa
Ndipo zinapoanza KUFUATA sehemu nyingine.
Ndiyo,kuna nn
Nguvi za kiume zimeingiaje tena aiseeSiri ya kutoonekana mzee na pia kuwa na nguvu za kiume ni hii
1: Kula vyakula vya asili na vipikwe kimaskini.
2: Kufanya kazi, kuwa na furaha na kulala angalau saa 8 kwa siku.
3: Kutokutumia kilevi na bidhaa zote za tumbaku
Duh!.Kinachotuzeesha ni Gravity, angalia hata ukizeeka sana unapinda mgongo na mwili unavutwa kuelekea ardhini.
Hata Mashavu yanashuka kwa kuvutwa na Gravity kueakea ardhini
Nina imani ukiishi kwenye Zero Gravity hutozeeka labda misuli tu ndio itapoteza Mass na huenda nguvu za kiume zikaongezeka mara dufu kwenye Vacum.
Kaka walimu wanarudia past papers zilezile yaani ukiwaamsha usingizini ukamuuliza effect of transatlantic slave trade Mwalimu anamwagika utashangaa..Mbona walimu hawazeeki?
Boresha kwa kuweka ambao ni advanced. Otherwise, ungeipa akili nafasi kabla ya kuandika.Utafiti duni
ongezea kwenye list yako kufanya mazoezi, kuepuka stress, pia kutokuchomwa na jua.. jua linazeesha ngoziSiri ya kutoonekana mzee na pia kuwa na nguvu za kiume ni hii
1: Kula vyakula vya asili na vipikwe kimaskini.
2: Kufanya kazi, kuwa na furaha na kulala angalau saa 8 kwa siku.
3: Kutokutumia kilevi na bidhaa zote za tumbaku
Mkuu apo nimetumia makalio kuandika sio?Boresha kwa kuweka ambao ni advanced. Otherwise, ungeipa akili nafasi kabla ya kuandika.
Tatizo ukiwa na Hela ya mawazo unaspend huku unawaza kesho unaamkaje. Na ikitokea umeamka huna salio mawazo yazidi mara dufu, hapo ndio Huwa Kuna kuzeeka Kwa spidi ya 1000km/ s.Yaani akili ndo ubongo wenyewe sasa unafanya kazi ,usiombe kuchosha akili yako kwa kazi unaweza kuumwa mwili mzima .
Bado ukiwa na stress akili Inakuwa haifanyi kazi acha tu ,unaanza kupoteza Nuru usoni mara makunyanzi kama mzee, mwisho wa siku akili haiwazi mambo ya maana inawaza mambo ya masononeko mpaka unakufa .
Hata tunapofany kazi tusiwe ile serious sana akili inahitaji kupumzika hata kufurahi, kazini kama kutatua changamoto za wateja na risky za hapa na pale haziishi ,mara kufokewa mara kutia hasara ..Unaweza kosea kazi ukaharibu na kuleta hasara so unakuwa kiakili unakuwa na mawazo fulani.
Ushauri hata kama kazi yako una unapata pesa kidogo jifundishe kuspend ,kama sio mleni nenda hata tour moja kila likizo jichange kidogo, weekend kula Bata utulize akili.
Kuna point hapa ila nimecheka sana hapo mwishoni inaonekana balaa la vacuum ni zito [emoji23][emoji23][emoji23]Kinachotuzeesha ni Gravity, angalia hata ukizeeka sana unapinda mgongo na mwili unavutwa kuelekea ardhini.
Hata Mashavu yanashuka kwa kuvutwa na Gravity kueakea ardhini
Nina imani ukiishi kwenye Zero Gravity hutozeeka labda misuli tu ndio itapoteza Mass na huenda nguvu za kiume zikaongezeka mara dufu kwenye Vacum.
Ma Astronaut huwa wanadai kuwa wakikumbuka wenzi wao chuma huwa kinakomaa kwa muda mrefu.Kuna point hapa ila nimecheka sana hapo mwishoni inaonekana balaa la vacuum ni zito [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ma Astronaut huwa wanadai kuwa wakikumbuka wenzi wao chuma huwa kinakomaa kwa muda mrefu.