Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!

#hapakazitu. tarehe 26/10/2015 alfajiri kabla ya jogoo hajawika watu watasaga meno kwa kutoamini kilichotokea tanzania!

kwenye tarehe umekosea kidogo, ni asubuhi na mapema ya tarehe 25/10/2015 mheshimiwa edward ngoyai lowassa atakuwa ameshatangazwa mshindi, maana kura atakazozipata kwa muda wa lisaa limoja tu baada ya zoezi kuanza hamna mgombea mwingine atayefikia robo yake. Lowasssssssssssssa
 
Kwa miaka miwili Kinana alizurura akitafuna kodi zetu

Ni kipya kipi atawaeleza Watanzania safari hii?

Kila alikopita aliilaumu serikali ya CCM kwa kushindwa kazi

Je Magufuli hakuwepo kwenye serikali hiyo kama Waziri?

Sasa leo anapopanga kurudi kwa wananchi wale wale

Huku ni kukosa aibu, haya na dalili ya kuchanganyikiwa.
 
Ni dalili za anguko la ufalme wa shetani hapo Octoba 25

Dalili zote zinaonyesha. Kila wanachofanya hakilipi. Sasa utakujaje tena na timu ya kuandaa ilani mpya wakati hiyo ya uchaguzi wala hujainadi na badala yake umekuwa unatukana. UKAWA wakiweza kulinda kura wanashinda kwa kishindo kikubwa.
 
Yeye anagombea urais. Nia ni kushinda. Hivyo matayarisho anayoyafanya sii ya ajabu.
 
Yaani mnachunguza wakati mlisema matatizo ya watanzania mnayajuwa...!!!
Anyway baneni matumizi na ongezeni juhudi kwenye haya
1. Fungeni wote wa mishahara hewa
2. Halmashauri zenye hati chafu watieni ndani wote
3. Kamata wakwepa kodi wote
4. Futa misamaha ya kodi

Kuyatekeleza haya kwa mtazamo wangu ni ndoto za mchana.
 
Habari kutoka Lumumba zinasema Maraisi Wastaafu wameamua kupanda Majukwaani Kumsaidia Magufuli.Tunawasihi sana Wasitumie lugha za MATUSI VITISHO Na UONGO Kwani wao kama Viongozi hawastahili kufanya hivyo Na yule ALIYETUTUKANA ETI WATANZANIA WATAKA MABADILIKO NI WAPUMBAVU Na MALOFA ASIRUDIE TENA.

Hali ni ngumu, lowassa si mchezo. Ukawa hatari.

#mabadiliko
 
Wana bodi!
Hali ya CCM ni mbaya sana. Hawakutegemea kabisa kuwa watanzania watawakataa kama inavyotokea sasa. Na katika ku-panic na kuonyesha taharuki wamejikuta wanafanya mambo yanayozidi kuwafumbua wananchi macho na kuiona CCM ni kundi la matapeli:
1; Matusi ndio imekuwa ilani yao ya uchaguzi.
2: Magufuli ameshindwa kujinadi kwa kutumia jina la CCM na badala yake anajinadi kama mgombea binafsi.
3: Na kali ya funga kazi ni hii iliyotokea leo: wamekuja na mpango wa maandalizi ya ilani mpya huku ile ya zamani wakiwa wameitupa. Hebu oneni huu utapeli:



My take: CCM wanazidi kuonyesha utapeli, ulaghai na kuwa ni wale wale wala hawakuwa wamejiandaa. Hivi kweli inaweza kuingia akilini mtu kusema Chama kilichotawala muda wote huu haya mambo kilikuwa hakiyajui na sasa ndio wameshtuka na wanaanza kuchunguza? Si ni kwasababu wameona hali ni mbaya ndio maana wanakuja na mipango mipya huku hata iliyopo kwenye ilani haijatekelezwa?


Lengo lao ni kuwalaghai wananchi kwa ghiliba ziso kifani na mwisho
 
Back
Top Bottom