Elections 2015 Kinana aanza ziara ktk Majimbo 64. Magufuli aunda kikosi kazi... Mkapa, Kikwete nao wajipanga!


Haya ni maoni yako tu Ndugu. Km Lowasa anajua cha kufanya angezungumza haya hsdharani kwa kinywa chake why is he afraid to talk about this?? Anaongea Juu Juu tu km anaongea na wasiojua siasa! Kufanya hivo watu tutarudi chadema tumpe kura zetu laa sivyo wewe huwezi kumzungumzia Lowasa yeye ndo aseme ili tunshtaki kwa maneno yake period!!! Wameshatu manipulate vyakutosha
 

Mnataka aseme mara ngapi kuwa akiingia madarakani atawapatia wananchi katiba waitakayo!! Nyie wengine mmepumbazwa na ahadi za magamba hamuoni wala hamsikii sababu ya kuushabikia Mwenge!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…