Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Umeambiwa hawatatumia chopa ....labda ikibidi!!
haya ndo mabadiliko tunayoyataka! siasa weka pemben ujuzi na elimu itawale, kazi ifanyike
Huyu ndo raisi tunayemtaka,
Magufuli amejipanga ataweza kutusaidia sana watanzania kila la kheri magufuli.
namchagua magufuli sichagui ccm hapa kazi tu
Mkuu hawa ni matapeli wa kutupwa. Miaka 10 ya Kikwete yote alishindwa kuangalia haya mambo leo wanakumbuka shuka wakati kumekechaUnadanganywa kizembe sana ! Kwani wanaopanga mipango ya maendeleo miaka yote ni akina nani ?
kama vile inataka kurudi ccm ya nyerere
Hapa kazi tu kuanzia siku ya kwanza
Mkuu,
Nimefurahishwa na namna ulivyotoa comment yako,,imeonyeshwa wazi hufurahishwi na mambo yanayoendelea,,lakini pia huchukulii suala la uchaguzi na uendeshaji wa serikali kishabiki,,naamini na nadhani na wewe unaamini despite of wana ccm wengi wabaya na mafisadi(kama walivyokua kina lowassa,kikwete,chenge,karamagi n others) kuna wana ccm wenye nia na dhamira ya kulipaisha taifa hili,,,kina magufuli,mwakyembe,mwandosya,sitta,j.makamba na wengineo,,ninaamini era ya wana ccm walio na dhamira safi inakuja kwenye awamu hii ya 5