Kinana anashangaa Watanzania kutonufaika na Kiswahili

Kinana anashangaa Watanzania kutonufaika na Kiswahili

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nimeona kwenye kichwa cha habari kwenye gazeti la leo likisema kwamba eti Makamu Mwenyekiti CCM bara anashangaa watanzania kutonufaika na Kiswahili.

Huyu akishangaa sijui anamaanisha nini wakati yeye amekuwa kiongozi mkubwa kabisa mwenye kushawishi sera na mipango ya serikali eti Leo na yeye anashangaa.

Alikuwa Katibu Mkuu sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM Bara hizi nafasi zilitosha yeye kuliandaa taifa kunufaika na Kiswahili, hivi akishangaa yeye sie raia wa kawaida tufanyeje!?
 
Nimeona kwenye kichwa cha habari kwenye gazeti la leo likisema kwamba eti Makamu Mwenyekiti CCM bara anashangaa watanzania kutonufaika na Kiswahili.

Huyu akishangaa sijui anamaanisha nini wakati yeye amekuwa kiongozi mkubwa kabisa mwenye kushawishi sera na mipango ya serikali eti Leo na yeye anashangaa.

Alikuwa Katibu Mkuu sasa ni Makamu Mwenyekiti CCM Bara hizi nafasi zilitosha yeye kuliandaa taifa kunufaika na Kiswahili, hivi akishangaa yeye sie raia wa kawaida tufanyeje!?
Asichofahamu ni kwamba ili tunufaike na Kiswahili ni lazima tukiweze kwanza Kiingereza, hiyo ni ajabu lkn ndo ukweli

Wakenya wananufaika na Kiswahili kama Wanavonufaika na Mlima Kilimanjaro kwa sababu moja tu - Kiingereza!
 
Back
Top Bottom