Kinana apata mapokezi ya kishindo Dar

SautiYaMnyonge

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2018
Posts
439
Reaction score
742
MATUKIO KATIKA PICHA


Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Shina namba tisa tawi la Masaki, kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abdulrahman Omari Kinana Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

#CCMImara
#KaziIendelee

 
Kazi inaendelea hakika kazi inasonga mbelee kweli kweli.
 
Haya mapokezi yangefanyika viwanja vya wazi kama Jangwani kipindi hicho, moshi ungefuka ingawa moto usingewaka!!! Maana kuambiwa unalamba asali wakati mate yamekauka si jambo la mchezo. Ha ha ha haaaa!
 
Wakitoka hapo wanaanza kulia Hali ni Mbaya na ajira hakuna[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mtu ana mvuto mkubwa wa kisiasa na ushawishi wa kustaajabisha, anatosha kwa Urais kabisa ikiwa afya itakuwa bado njema. Mungu amlinde
 
Mipasho ya pwani tuu awamu hii.
Kwani Kinana naye ni mtu wa Pwani?

Wakati Akiwa Katibu Mkuu alifanya kazi kubwa sana kurudisha heshima ya Chama , na aliwakosoa watendaji wa Serikali waziwazi bila kupepesa macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…