Kinana apata mapokezi ya kishindo Dar

Kinana apata mapokezi ya kishindo Dar

MATUKIO KATIKA PICHA


Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Shina namba tisa tawi la Masaki, kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abdulrahman Omari Kinana Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

#CCMImara
#KaziIendelee

View attachment 2182511View attachment 2182512View attachment 2182513View attachment 2182514View attachment 2182515View attachment 2182516View attachment 2182517

Ataacha kupata mapokezi ya kishindo wakati mnachota pesa hazina kuaandaa hayo maigizo? Kila kitu kimepanda bei, badala ya kushughulika na hayo mnafanya mbwembwe za kijinga kujiandaa na uchaguzi wa 2025.
 
Kwani Kinana naye ni mtu wa Pwani?

Wakati Akiwa Katibu Mkuu alifanya kazi kubwa sana kurudisha heshima ya Chama , na aliwakosoa watendaji wa Serikali waziwazi bila kupepesa macho.
Maelezo yoa wenyewe chama kilikuwa na wakati mgumu Kinana akiwa katibu
Hayo ni maelezo yao wenyewe Wana CCM, na Jana wassira kazungumzia tena hilo
 
"Panya hafundishwi kula usufi wakati ndiyo kazi yake" by shaka
😂😂😂 poleni tembo wetu , kiboko yenu kaingia town .🐘🐘🐘🐘🐘🐘
 
Mbowe anaokoteza Hela za wananchi mitaani wakati yeye anapanda V8
Wewe nani kakukataza kupanda V8?

IMG-20180405-WA0006.jpg
 
Huyu mtu ana mvuto mkubwa wa kisiasa na ushawishi wa kustaajabisha, anatosha kwa Urais kabisa ikiwa afya itakuwa bado njema. Mungu amlinde
Kwani wote waliompokea si wana CCM wenzake?
Kiashiria cha huo mvuto ni kipi?
 
Kwani wote waliompokea si wana CCM wenzake?
Kiashiria cha huo mvuto ni kipi?
Akikujibu nishitue,

Pia ni wale wachovu kabisa wamepewa 5,000/ na khanga na flana/ t-shirt
 
MATUKIO KATIKA PICHA


Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Shina namba tisa tawi la Masaki, kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abdulrahman Omari Kinana Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

#CCMImara
#KaziIendelee

View attachment 2182511View attachment 2182512View attachment 2182513View attachment 2182514View attachment 2182515View attachment 2182516View attachment 2182517
Siempre CCM🙏

SIEMPRE CCM 🙏

SIEMPRE CCM🙏
 
😍
MATUKIO KATIKA PICHA


Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Shina namba tisa tawi la Masaki, kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abdulrahman Omari Kinana Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

#CCMImara
#KaziIendelee

View attachment 2182511View attachment 2182512View attachment 2182513View attachment 2182514View attachment 2182515View attachment 2182516View attachment 2182517
 
MATUKIO KATIKA PICHA


Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Shina namba tisa tawi la Masaki, kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abdulrahman Omari Kinana Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

#CCMImara
#KaziIendelee

View attachment 2182511View attachment 2182512View attachment 2182513View attachment 2182514View attachment 2182515View attachment 2182516View attachment 2182517
KISHINDO HIKI HIKI Alipewa MAGUFULI wakati Anawasumbua huyu KINANA na MAKAMBA Watanzania WANAFIKI SANA
 
Back
Top Bottom