Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
MATUKIO KATIKA PICHA
Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Shina namba tisa tawi la Masaki, kata ya Msasani, Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es salaam Komredi Abdulrahman Omari Kinana Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
#CCMImara
#KaziIendelee
View attachment 2182511View attachment 2182512View attachment 2182513View attachment 2182514View attachment 2182515View attachment 2182516View attachment 2182517
Ataacha kupata mapokezi ya kishindo wakati mnachota pesa hazina kuaandaa hayo maigizo? Kila kitu kimepanda bei, badala ya kushughulika na hayo mnafanya mbwembwe za kijinga kujiandaa na uchaguzi wa 2025.