mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sio kwamba mlipita na maspika kabla[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nyuso za wananchi hazina furaha au picha ilipigwa wakati wa jua la utosi?KINANA APOKELEWA KWA KISHINDO HANDENI TANGA.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Ndg Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa wananchi waliojitokeza kumlaki Mkata, wilayani Handeni leo, alipowasili mkoani Tanga kwa ziara ya siku moja ikiwa ni muendelezo wa ziara yake mikoa 4 https://t.co/DuANGJoRJ3
View attachment 2199701
View attachment 2199702
View attachment 2199703
View attachment 2199704
Na huko walikosombwa kama ni kweli wamesombwa wanakuwa wanachama wa Chadema waliovalishwa sare za CCM?Au ni wanachama hao hao wa CCM.Hapo wamesombwa kutoka sehemu mbalimbali na malori
Kweli wamewavisha chadema sare za CCM halafu wanaigiza kuwa ni Wana CCM.Huwajui ccm kwa maigizo wewe
Watakuwa na furaha siku akienda makamu mwenyekiti wa chadema.Mbona nyuso za wananchi hazina furaha au picha ilipigwa wakati wa jua la utosi?
Hao watu tumewasomba kwa malori kutoka vijijini huko na kuwapatia tishet.Kwa uwingi huo wa wanachama Bado chadema wanalalamika wanaibiwa Kura.
Akili yako inakutuma kila asiye ccm ni cdm!!Kweli wamewavisha chadema sare za CCM halafu wanaigiza kuwa ni Wana CCM.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
😁😄😃😃😆😁😁Tembo wanalia[emoji24][emoji24]
Wanaratibu vilee! Hoja yaweza kukubalika kama tu ndio lengo lao. Isijekuwa tu wakusome hapa halafu ndio iwe kamilifu!Wamepiga hesabu vizuri Sana!wanajua maeneo ya pwani watamkubali mama Yao!halafu kule kanda ya ziwa wamewapa chama Chao kipya! Mbowe wanamwachia kanda ile ya kaskazini!!kwamba ccm itapata kura kule pwani na vijiji vyake!! serekali mseto ya vyama vikuu vitatu Ndio lengo Lao