Kinana: Asikudanganye mtu hakuna Uchaguzi rahisi, kura ipo kwenye moyo wa mtu

Kinana: Asikudanganye mtu hakuna Uchaguzi rahisi, kura ipo kwenye moyo wa mtu

Kweli kabisa. Hivi unadhani Kinana, Nape, na Makambas watampigia kura nani?
 
Anatuandaaa kisaikolojia kuwa Hata tukijazana kwa cdm au ACT ccm itaiba Kira na slogan hii itatumika
 
Kinana yuko sahihi, ila kwa sasa chini ya Magufuli box la kura haliheshimiwi, bali msimamizi wa uchaguzi anaagizwa amtangaze mgombea wa ccm kwa lazima.

Enzi za kina Kinana walikuwa wanaiba kura, ila sasa hivi kura haziibiwi, bali mgombea wa ccm anatangazwa kibabe kwa maagizo ya rais, bila kujali matokeo ni yapi.
Unataka kusema wanaiba uchaguzi badala ya kuiba kura?
 
Angelijua mioyo yetu wala asingegombea, japo tume itamtangaza lakini hapati Kura yangu.

Upasue huo moyo wako ili utulie ahela kwa amani, maana hakuna mateso unayoyapata kila siku bila suruhu,
 
Kinana yuko sahihi, ila kwa sasa chini ya Magufuli box la kura haliheshimiwi, bali msimamizi wa uchaguzi anaagizwa amtangaze mgombea wa ccm kwa lazima.

Enzi za kina Kinana walikuwa wanaiba kura, ila sasa hivi kura haziibiwi, bali mgombea wa ccm anatangazwa kibabe kwa maagizo ya rais, bila kujali matokeo ni yapi.
Sio rahisi hivo,huu ni uchaguzi mkuu sio wa marudio
 
Hatukuwa tunashinda, na ndio maana madai ya tume huru ya uchaguzi hayajawahi kukoma. Ila upinzani umeendelea kujizolea viti vingi vya ubunge kila muda unavyosogea kwenye mazingira hayo hayo. Kwa maneno marahisi upinzani umekuwa kama shoka dogo linalokaribia kuangusha mti mkubwa. Ila kinachoendelea chini ya Magufuli sio wizi tena, bali ni ubakaji wa wazi wa box la kura.
Uzuri mwamba mbuyu wa siasa tegemeo Mungu kampenda zaidi alitumia akili na nguvu kuforce ushindi.Waliobaki wanategemea nguvu hapo ndo watakapo haribu kabisa.
 
Screenshot 2020-07-02 at 14.27.45.png
 
Tatizo kura zikikutaa zimekukataa, hata ukiiba unabaki kujitafutia laana ndo maana unakuta viongozi wengine wanakosa ushawishi kabisa kwa sababu wanakuwa hawapo kwenye mioyo ya watu.
 
Kinana yuko sahihi, ila kwa sasa chini ya Magufuli box la kura haliheshimiwi, bali msimamizi wa uchaguzi anaagizwa amtangaze mgombea wa ccm kwa lazima.

Enzi za kina Kinana walikuwa wanaiba kura, ila sasa hivi kura haziibiwi, bali mgombea wa ccm anatangazwa kibabe kwa maagizo ya rais, bila kujali matokeo ni yapi.
Kwahiyo wewe kila CCM ikishinda imeiba kura. Hakuna siku CCM imeshinda kihalali.
 
Kwahiyo wewe kila CCM ikishinda imeiba kura. Hakuna siku CCM imeshinda kihalali.

Sikatai kuwa ccm kuwa kuna wakati au sehemu hushinda kihalali, huko itakuwa ni kujidanganya mwenyewe. Lakini kila uchaguzi hasa toka uchaguzi wa mwaka 2,000 mpaka sasa, imekuwa ikipata 30%+ kwa wizi/hujuma. Asilimia nyingine walizokuwa wakipata ndio zilikuwa za halali kujazia hizo za hujuma. Ila baada ya kuingia awamu hii ya tano, ccm wala haishindi tena kwa wizi, bali inabaka box la kura kimachomacho.
 
Fedha ya kampeni tamu, kakumbuka ule ulaghai wa Ziara zake na Nape kuzunguka nchi nzima kufufua uhai wa chama. Ungemuliaza enzi zake angali kuambia kuvaa sare ya CCM ukakatiza mtaani si kitu rahisi, hii yote ni janjajanja ya kutishia na kutia hofu iliakumbukwe na kuingizwa kwenye kampeni. Wamchukulie huyu kwa tahadhari zote na kamwe wasije kufanya makosa wakabweteka.
 
Katibu mkuu mstaafu wa CCM komredi Kinana akizungumzia uchaguzi alisema hakuna uchaguzi rahusi kila uchaguzi huja na ugumu wa aina yake kuzingatia mazingira ya wakati husika.

Kinana alikuwa akijibu swali la mwandishi wa habari kama anaona CCM itapata mteremko katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom