actually,Da kweli tumbo mponza tako!!
Elephant dentist.Mzee WA meno ya tembo π€£
Kumbe lucas ni wa Vwawa vijijini ndio maana anahangaika na Mapambio ya kutafuta Teuzi atoke KijijiniKwako Lucas pale Vwawa
Ujasiri unatokana na kutuona mazuzu who can not make a resistance....Jamani viongozi wetu huu ujasiri wa kiwazimu wanatoa wapi?
Kweli una muda ndugu yangu...mimi sina muda wa kujibizana na takataka.Unaleta ushabiki wa uchawa, unasahau kuwa wajukuu wako hawatakuwa na madarka kama wewe (in case uko serikalini/ccm na madaraka....maana hatujuani humu JF ingawa unaweza kukisia huyu ni fulani). Weka uchawa kando tetea tanganyika. Kesho ikizuka civil war you will not be spared. Kuepusha hayo waambie akina Kinana to stop what they are doing!
Hapo hakuna cha ajabu kwani huyo ndiyo zake, kuna wakati alitaka kulazimisha meli yake ifike Ngorongoro!View attachment 2983088
Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.
Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
Absolutely. Huyu ni Mohammed bin Rashid Al Makthoum,mfalme wa Dubai.
Kinana ni mtu hatari snHapo hakuna cha ajabu kwani huyo ndiyo zake, kuna wakati alitaka kulazimisha meli yake ifike Ngorongoro!
Lokasa ya mbongo. Mayenu +kwasa kwasaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Akipokea mic nishitue pamoja na kijakazi wetuKwako Lucas pale Vwawa
MSUMARI UMEWAINGIA CHADEMA WASHAANZA KUUNGAUNGA VICLIP KUMCHAFUA COMREDView attachment 2983088
Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.
Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
Kuna jamaa kakamatwa huko kwao akijifanya ni Afisa Naniliu wa taifaLokasa ya mbongo. Mayenu +kwasa kwasaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Akipokea mic nishitue pamoja na kijakazi wetu
Hivi hizo sehemu zimekodishwa au kuuzwa shs ngapi? Na hela zimeingia mfuko Gani na mbona hatushirikishwiView attachment 2983088
Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.
Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
Kwako Lucas pale Vwawa
Kuna jamaa kakamatwa huko kwao akijifanya ni Afisa Naniliu wa taifa
Ndio tunafuatilia maana Lucas kapotea hapa Jukwaani πππ
HAPO ANAWAPIMIA KWA MIGUU ENEO JINGINE WANALOTAKA. JAMAA NI DALALI WA KUUZA ARDHI YA WATANGANYIKA MAMBO YAKIWA HOVYO ANAKIMBILIA KWAO ANAA WAACHA AKINA MWAMSHAMBWA WANALAMBALAMBA TU MIGUU HUKU WAMEJICHOKEAView attachment 2983088
Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.
Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
Sema maji yamezidi unga sasa ni uji siyo ugali tena.Kuna jamaa kakamatwa huko kwao akijifanya ni Afisa Naniliu wa taifa
Ndio tunafuatilia maana Lucas kapotea hapa Jukwaani πππ
Mfalme alifuata kitowewo mbugani!!!!! Mwarabu na nyama kama ngozi na mwili, hapo lazima aondoke na mboga ya kutosha sana.View attachment 2983088
Wengi wanafahamu sekeseke la Loliondo Ngorongoro huku likipamba kasi baada ya Wamasai wote kuambiwa waondoke kinguvu.
Clip ambatanishi hapo juu ni Makamu Mwenyekiti akiwa na ugeni mzito huko mbugani, swali je alikua akimpokea kama mgeni wake binafsi ama kwa niaba ya Samia?!! Kwa nini sio waziri wa utalii?!! Kwa nini kumeambatana na dege kubwa kabisa la mizigo maporini?!! Ndege za kimataifa tunatambua hutua airport ya KIA ama Arusha Airport, hili jidege ilikuaje likaenda direct maporini?!!
CCM wote mnakosa akili. Hata kama moyo wako unauma unabana. Ujinga huuAnaiuza kutokea wapi? πΌ
huyu alishachafuka kwenye ile kshfa ya kuuza meno ya tembo. basi tu ni mwanaccm mwenzetu ila ameua sana tembo wetu kinanaMSUMARI UMEWAINGIA CHADEMA WASHAANZA KUUNGAUNGA VICLIP KUMCHAFUA COMRED