Kinana aungana na wanaccm wenzake kufanya uchaguzi katika shina lao Kinondoni

Kinana aungana na wanaccm wenzake kufanya uchaguzi katika shina lao Kinondoni

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
KINANA AUNGANA NA WANA CCM WENZAKE KUFANYA UCHAGUZI KATIKA SHINA LAO - KINONDONI

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana leo Aprili 19 , 2022 ameungana na Wanachama wenzake wa Shina Namba 9, Tawi la Masaki, Kata ya Msasani wilaya ya Kinondoni, Mkoani Dar es Salaam kufanya uchaguzi wa Viongozi katika Shina lao. Nafasi zilizopigiwa Kura ni Mwenyekiti wa Shina na wajumbe wanne wa Kamati ya Shina.

Katika uchaguzi huo, Ndg Kizito Mahamba aliibuka kidedea baada ya kupata kura 108 za ndiyo kati ya kura 109 zilizopigwa huku moja ikiwa ya hapana.

#KaziIendelee
@ccmtanzania

IMG-20220419-WA0336.jpg


IMG-20220419-WA0330.jpg


IMG-20220419-WA0335.jpg


IMG-20220419-WA0340.jpg


IMG-20220419-WA0338.jpg


IMG-20220419-WA0337.jpg


IMG-20220419-WA0339.jpg
 
Chama kimeshakufa hiki.

Wana CCM wamepigwa bumbuazi hapo.
 
Mzee kavaa saa Mbili au macho yangu yanaonaje
 
Uchanganuo wa kiunagaubaga...mpaka itakapothibitika vinginevyo.

Kwa wale wanaojua mbinu za huyu MMkt, wanaelewa kuwa Kampeni za CCM zimeanza.

Majibu rahisi kutoka CCM- hata kama utaegemea upande wa kuamini(kuhutumu)hayo juu-ni kuwa ulikuwa ni 'Uchaguzi wa shina' na sio kampeni!

Ukweli kampeni ni kuonekana na huo ndio mwanzo-MMkt anauwezo mkubwa wa kufanya hivyo kwa hadaa kubwa- kama vile alipozunguka kufuatilia miradi ya CCM miaka ya nyuma' kwa kigezo hiki cha 'miradi'!

Hadaa, ni kama hizo 'kufuatilia miradi' wakati miradi, kiuhasilia ni ya Serikali.

Mbinu mpya, ni hii ya chaguzi za mashina, kiuhalali, huwezi kusema hizo ni Kampeni!

Kunauwezekano mkubwa kuwa hili la "Uchaguzi katika mashina" ndilo litakalompa uhalali wa 'kuonekana' na hivyo kuhalilisha 'uonjeshwaji wa Asali kwenye mashina aendako'. Ni kampeni, ni propaganda.
, kwa vile anajua habari zitaenezwa.

Ataonekana, wataonekana na kijani kijani, chereko na nderemo.

Kwa njia yeyote ile.

Nawapenda CCM.
 
KINANA AUNGANA NA WANA CCM WENZAKE KUFANYA UCHAGUZI KATIKA SHINA LAO - KINONDONI

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana leo Aprili 19 , 2022 ameungana na Wanachama wenzake wa Shina Namba 9, Tawi la Masaki, Kata ya Msasani wilaya ya Kinondoni, Mkoani Dar es Salaam kufanya uchaguzi wa Viongozi katika Shina lao. Nafasi zilizopigiwa Kura ni Mwenyekiti wa Shina na wajumbe wanne wa Kamati ya Shina.

Katika uchaguzi huo, Ndg Kizito Mahamba aliibuka kidedea baada ya kupata kura 108 za ndiyo kati ya kura 109 zilizopigwa huku moja ikiwa ya hapana.

#KaziIendelee
@ccmtanzania

View attachment 2193059

View attachment 2193060

View attachment 2193061

View attachment 2193062

View attachment 2193063

View attachment 2193064

View attachment 2193065
Mazingaombwe😎
 
Hiyo nyingine ni device ya kishushushu inarekodi kila kitu kwa diameter ya mita 40
 
Shina la mashuwa hilo

Hakuna jam

Ova
Hatua chache kutoka hapo ndio Kuna mashina ya wananchi
Machangu, mateja, mama ntilie, wapiga debe, Makonda, kina mama wa chupa za plastiki et al.
 
Hiyo nyingine ni device ya kishushushu inarekodi kila kitu kwa diameter ya mita 40

CCTV Lissu ashauriwe anunue yake kuondoa kutokea manunguniko kama yale ya kwanini CCtv zingolewe eneo la tukio zikahifadhiwe kama kielelezo.
 
Back
Top Bottom