Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Wataelewa hata kama ni udanganyifuMakamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana amewataka UVCCM wajijengee uwezo wa kuongea Majukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataelewa hata kama ni udanganyifuMakamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana amewataka UVCCM wajijengee uwezo wa kuongea Majukwaani
CHADEMA YAWATOA HOFU WANA-CCM WENYE UZALENDO WA KWELI
Tutashusha madaraka yawe mikoani / majimbo ili Masuala kama ya visima vya maji, matundu ya vyoo shuleni n.k yasiwe yanapoteza muda wa kikao cha bunge Dodoma ... bali wananchi majimbo / mikoani watakuwa wanawabana magavana waliowachagua wakamilishe miradi hiyo midogo huku huku chini mikoani na akishindwa basi gavana huyo wananchi wataweza kumtimua ...
Waliong'olewa ubongo unawezaje kuwajengea uwezo ?Makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana amewataka UVCCM wajijengee uwezo wa kuongea Majukwaani
Hii itasaidia wananchi kuelewa ujumbe wanaopewa nyakati za kuielezea Ilani ya CCM na utekelezaji wake
Source TBC
Bahati mbaya huyo anayesema eti anawashauri vijana wa CCM mwenyewe ana maswali elfu kujibu kuhusu uadilifu wake nadhani hata uraia wake una mashaka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sasa wazee ndiyo wamekalia viti vijana watapata wapi, badala vibabu viwe vishauri lakini kila siku kwenye magari [emoji48][emoji48][emoji48]