KINANA: CCM inatawala na itatawala kwa muda mrefu kwa sababu ya "demokrasia" iliyoko ndani ya CCM

Mfu anapotabiriwa maisha mareeeefu🙃🙃
 
Ushuzi wa mbaazi za babati 🤣
 
CCM ilishinda 2005 pekee huku kwingine ni majanga
Relax mkuu, sijasema kuwatoa ccm mimi sio dikteta, ninachotaka ni uchaguzi huru wenye matokeo huru,chaguzi zote zilizofanyika wakati wa vyama vingi, ccm wamepata push kubwa kutoka vyombo vya usalama na facts zipo na history itakuja kuhukumu hili
 
Kinachoshangaza mkiambiwa muweke mazingira sawa na ya kidemokrasia wakati wa uchaguzi hamtaki, lakini baada ya uchaguzi mnaanza kujisifu
 
Sioni uhalali wa CCM kujigamba kwamba wanadumu sababu ya demokrasia nk.

Uwanja wa kuwania kushika madaraka sio wa haki hata kidogo.

Natoa mifano miwili hapa itokanayo na kauli za auwaliopata kuwa viongozi wakuu au wapo hadi sasa.

Mmoja alisema ukitaka biashara zako ziende vizuri uwe CCM. Na kweli jaribu kuwa tofauti ushughulikiwe na TRA nk.

Au

Wakurugenzi wanaambiwa upewe madaraka na rasilimali na jimbo liende upinzani haikubaliki.

Au unadikia pigieni upinzani lakini CCM itaunda dola.

Hivi mnaobeza upinzani mambo hayo mnayapuuzaje.

Isitoshe nani kazaliwa kuwa CCM au CHADEMA nk. Nani mwenye wajibu wa kujenga upinzani imara.

Kwangu mimi CCM wasitambie mtu waendelee kutimiza wajibu wao kimyakimya. Wasije pitiliza hadi kumshika kipofu mkono. Waache tambo.

1.
 
Sasa yuko wapi wa kuitoa CCM?

JE? NI HAWA NCCR
JE? NI HAWA TLP
JE? NI HAWA CUF
JE? NI HAWA ACT
JE? NI HAWA CHADEMA
Hayupo wa kuitoa CCM kati ya vyama hivyo.

CCM itajifanyia SUICIDE yenyewe. Tunza hiyo Kwa MATUMIZI ya badae.
 
Kama unaamini haya njoo CCM tujenge nchi yetu
 
Kuna vyama Mimi nimezaliwa, nimesoma, nimeajiriwa mwenyekiti bado ni yuleyule,

Mrema
Lipumba
Mbowe

Hahaha CCM mbele kwa mbele yaani

Ni mpaka mtakapojifunza demokrasia ni zaidi ya kuchagua au kuongoza na mtu mwingine! Ninyi ndio huwadanganya wananchi kuwa demokrasia ni kura yao! Lakini kura hiyo hiyo ndio huibwa, kuminywa nk! Mnawadanganya mia kuwa wakishapiga kura - demokrasia yao imekamilishwa na wakipigia vyama vingine kura wanaambiwa wakawaombe hao maendeleo!!

Mrema, Lipumba na Mbowe wamekuwa kwenye uongozi miaka mingi. Na chaguzi halali kwa mujibu kwa katiba zao zimewaweka walipo. Kama walivochaguliwa wenyeviti CCM mara walipopata nafasi ya kuwa Rais.

Demokrasia ni zaidi ya uchaguzi!!!
 
Sina hakika na hizo sababu zake ila nachojua CCM bado ina miongo kadhaa madarakani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…