holypotato
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 211
- 250
Masaki kuna nini tujuzaneUnataka mzee wa watu azimie, ile ofisi ya masaki itakuwaje?
Anadhani watu ni watoto, kuna siku anasema Rais ameshaahidi kuwa uchaguzi utakuwa huru, watu wanataka Nini tena? Yaani yeye anadhani kuna mtu ana imani na rais kuwa akisema kitu ni automatic anaaminika.Tumemsikia Kinana akisema uchaguzi sio tume, na kwamba hoja ya wapinzani kulilia tume huru haina mashiko.
Kama Kinana na CCM wanaamini hivyo, embu wajaribu kuwapa fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi.
Kama watakuwa tayari kwa hili tutaamini kauli ya Kinana kuwa uchaguzi sio tume tuu, ila kama hawatathubutu kukubali hili basi uchaguzi ni tume.
Ukweli ni kuwa tume ndio inanafasi kubwa kufanya uchaguzi uwe na uhalisia au maigizo.
Wito wangu tuwape fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi, CCM wao wauze Sera zao tuu.
MZEE KACHOKA KAPOTEZA MWELEKEOTumemsikia Kinana akisema uchaguzi sio tume, na kwamba hoja ya wapinzani kulilia tume huru haina mashiko.
Kama Kinana na CCM wanaamini hivyo, embu wajaribu kuwapa fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi.
Kama watakuwa tayari kwa hili tutaamini kauli ya Kinana kuwa uchaguzi sio tume tuu, ila kama hawatathubutu kukubali hili basi uchaguzi ni tume.
Ukweli ni kuwa tume ndio inanafasi kubwa kufanya uchaguzi uwe na uhalisia au maigizo.
Wito wangu tuwape fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi, CCM wao wauze Sera zao tuu.
Halafu mtu kama huyo akifa masheikh wote wanakusanyika kumswalia wakati ni mtu Katili Allah kawaondolea wanadamu ukatiliAnadhani watu ni watoto, kuna siku anasema Rais ameshaahidi kuwa uchaguzi utakuwa huru, watu wanataka Nini tena? Yaani yeye anadhani kuna mtu ana imani na rais kuwa akisema kitu ni automatic anaaminika.
Juzi kanichekesha sana, anasema tume itakuwa huru maana maoni yametolewa na wadàu na yamechukuliwa, eti hata rais kashasaini hiyo Sheria. Rais ataachaje kusaini hiyo Sheria wakati inafaidisha chama chake?
CCM nayo imeisha jichokea eti wanamtumia Kinana kujibu hoja za Lissu, Mzee mwenyewe kachoka, sijui CCM akuna vijana wanaokwenda na nyakati! Tokea nikiwa mdogo ninaanza kujua kisoma na kuandika, Kinana alikuwa kiongozi Sasahivi miaka 50 bado ni kiongozi,hivi kuna jipya gani Kinana anaweza kulileta ambalo hakulileta kabla?Basi tu watanganyika akili zetu zilikwenda na Nyerere hawa wazee walikuwa wanapaswa kusifishwa kwa lazima.Tumemsikia Kinana akisema uchaguzi sio tume, na kwamba hoja ya wapinzani kulilia tume huru haina mashiko.
Kama Kinana na CCM wanaamini hivyo, embu wajaribu kuwapa fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi.
Kama watakuwa tayari kwa hili tutaamini kauli ya Kinana kuwa uchaguzi sio tume tuu, ila kama hawatathubutu kukubali hili basi uchaguzi ni tume.
Ukweli ni kuwa tume ndio inanafasi kubwa kufanya uchaguzi uwe na uhalisia au maigizo.
Wito wangu tuwape fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi, CCM wao wauze Sera zao tuu.
Huyu Kinana angeendelea kukaa pembeni tangu alivyowekwa kando na mwendazake ingemsaidia, maana hoja zake zote zimefilisika, hajielewi🤣🤣🤣Tumemsikia Kinana akisema uchaguzi sio tume, na kwamba hoja ya wapinzani kulilia tume huru haina mashiko.
Kama Kinana na CCM wanaamini hivyo, embu wajaribu kuwapa fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi.
Kama watakuwa tayari kwa hili tutaamini kauli ya Kinana kuwa uchaguzi sio tume tuu, ila kama hawatathubutu kukubali hili basi uchaguzi ni tume.
Ukweli ni kuwa tume ndio inanafasi kubwa kufanya uchaguzi uwe na uhalisia au maigizo.
Wito wangu tuwape fursa wapinzani kipindi hiki waunde tume ya uchaguzi, CCM wao wauze Sera zao tuu.