Kinana mwenye miaka 76 kastaafu na Wassira mwenye miaka 80 kachukua nafasi

Kinana mwenye miaka 76 kastaafu na Wassira mwenye miaka 80 kachukua nafasi

Ukistaajabu ya Musa hakika utayaona ya Filauni!

Kinana (76Yrs) kampisha Mzee Wassira (80Yrs) kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM.

Kuna mambo mengine hayaelezeki kirahisi. Maana wanayopanga na kutekeleza wanakuwa na agenda nyingine nyingi.
Sisi waja tunaomtegemea Mwenyezi Mungu, tunashangaa na kuyaweka yote mikoni mwake.
Mwenyezi Mungu atunusuru. Hii ya kufikiria kuandaa viongozi wazuri ni kama agenda iliyokufa.
Ndio maana tunayaona haya
 
Kanda ya ziwa Ina Nini mpk ipumbazwe. Acha kujipa umuhimu usiokuwepo kwa minajili ya ukanda. Nchi hii ni moja hakuna Mambo ya ukanda, niambie kiongozi wa huo ukanda. Hakuna kitu kinaitwa Kanda ya ziwa ktk mgawanyo wa Jambo lolote. Acha ushamba.
Jibu Kwa hoja Mimi so mshamba
 
Ukistaajabu ya Musa hakika utayaona ya Filauni!

Kinana (76Yrs) kampisha Mzee Wassira (80Yrs) kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM.
Kwani Obama alivoondoka madarakani alikua na miaka mingap, na kijiti akashika Trump alikua na miaka mingap ?
 
Ukistaajabu ya Musa hakika utayaona ya Filauni!

Kinana (76Yrs) kampisha Mzee Wassira (80Yrs) kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM.
1️⃣ Kinana hajastaafu kwaajili ya umri bali ni maamuzi binafsi kama chongolo alivyojiuzulu nafasi ya ukatibu mkuu.
Kwahiyo mzee kunana kajiuzulu ili apate nafasi ya kufanya mambo yake binafsi.
2️⃣ Umri wa kuzeeka hutofatiana kati ya mtu na mtu, familia Moja na nyingine , na pia ukoo mmoja na ukoo mwingine.
Kama vile umri wa kubaleghe.
Kuna baadhi ya watoto hubaleghe ( kupata hedhi kwa wasicjana , kuota mavuzi na kumwaga shahawa ndotoni nk )wakiwa na miaka nane hasa wasichana na wengine huchelewa kubaleghe hadi wakafika miaka 15.
Hali kadhalika kuna baadhi ya watu akishafika miaka 65 tayari ameshaanza kukongoroka na kupoteza kumbukumbu na kuwa mtu wa mahospitalini kila siku kutokana na maradhi ya uzee lakini wapo wengine hufika hadi miaka 90 hali ya kuwa bado wana nguvu ya mwili na akili. Mimi naamini Mzee Wasira bado ana nguvu ya kumsaidia mama Samia kukiongoza chama Cha mapinduzi.
Any way mwaka ujao tarehe 14 mwezi 6 raisi wa Marekani Donard Trump atakamilisha miaka 80 umri sawa na wa mzee Wasira.
 

Attachments

  • IMG-20250125-WA0002.jpg
    IMG-20250125-WA0002.jpg
    64.1 KB · Views: 3
Umri wa miaka 80 kumbukumbu huanza kupungu,maamuzi hutegemea ushauri wa wengine.
Ni mtu sahihi kwa watu wenye Nia ovu,kupitisha mambo yao kwa mgongo wake.
Nimekaa palee👉
Juni 14 mwaka kesho Donard Trump atakamilisha mika 80 na Bado ataendelea kuiongoza Marekani hadi mwaka 2029.
 

Attachments

  • IMG-20250125-WA0002.jpg
    IMG-20250125-WA0002.jpg
    64.1 KB · Views: 2
Ukistaajabu ya Musa hakika utayaona ya Filauni!

Kinana (76Yrs) kampisha Mzee Wassira (80Yrs) kwenye nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCM.
Tukiwambia CCM imejaa wajinga wengi huwa hawataki kuukubali ukweli huo, wanakubalije babu kabisa miaka 80 awe kiongozi ndani ya chama kikongwe hizi ni dalili za kuishiwa mbinu na mipango
 
Hivi kwanini vijana wa CHADEMA munateseka na mambo ya CCM?
 
Back
Top Bottom