Kinana please ongelea suala la bando, wewe pekeee ndiye unayesikilizwa nchi hii kwa sasa

Kinana please ongelea suala la bando, wewe pekeee ndiye unayesikilizwa nchi hii kwa sasa

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kwa kuwa wewe ndiye ukiongea kitu kesho yake kinafanyiwa kazi tusaidie hili la wizi wa makampuni ya simu kuibia watu data/bundle wanapandisha na hata ukikubali kulipia kiasi wanachotaka mb zinafyekwa kibabe

Kwa kifupi ni wezi ,malalamiko yakitolewa waziri husika Nape nnauye kazi yake ni kuwakejeli na kuwasuta walalamikaji, Tcra ndo usiseme wanakuja na data kwamba Tanzania bei ya bando n nafuu mno kwa afrika

Tusaidie mzee Kinana, najua wewe nape hawezi thubutu kukukejeli
 
Kwa kuwa wewe ndiye ukiongea kitu kesho yake kinafanyiwa kazi tusaidie hili la wizi wa makampuni ya simu kuibia watu data/bundle wanapandisha na hata ukikubali kulipia kiasi wanachotaka mb zinafyekwa kibabe

Kwa kifupi ni wezi ,malalamiko yakitolewa waziri husika Nape nnauye kazi yake ni kuwakejeli na kuwasuta walalamikaji, Tcra ndo usiseme wanakuja na data kwamba Tanzania bei ya bando n nafuu mno kwa afrika

Tusaidie mzee Kinana, najua wewe nape hawezi thubutu kukukejeli
Kwa vile kakurupuka la Traffic na viongozi wa Polisi wasivyo na akili bila kuchuja akili ya mtoa mada wakalivalia njuga kuwasakama Askari wao?
Ni kawaida nchi hii kufanya kazi Kwa milipuko. Baada ya ajali ya Mtwara magari yote ya shule nchi nzima yanakaguliwa.
 
Kwa vile kakurupuka la Traffic na viongozi wa Polisi wasivyo na akili bila kuchuja akili ya mtoa mada wakalivalia njuga kuwasakama Askari wao?
Ni kawaida nchi hii kufanya kazi Kwa milipuko. Baada ya ajali ya Mtwara magari yote ya shule nchi nzima yanakaguliwa.
Tunaomba akurupuke na hili la DATA /bando
 
Basic needs kwa mtu mzima na rijali ni chakula, makazi, mavazi na kujamiana.
Data sio basic need mazee, pigia kelele ishu za msingi.
 
Basic need kwa mtu mzima na rijali ni chakula, makazi, mavazi na kujamiana.
Data sio basic need mazee, pigia kelele ishu za msingi.
sawa mkuu kila mtu apigie kelele anachoona cha muhimu, wengine wanapigia kelele simba na yanga mimi napigia kelele bando ni sehemu ya maisha yangu
 
sawa mkuu kila mtu apigie kelele anachoona cha muhimu, wengine wanapigia kelele simab na yanga mimi napigia kelele bando ni sehemu ya maisha yangu
Ukimaliza kupiga kelele njoo chimbo nikuoneshe jinsi ya kutumia data bure kabisa.
 
Waliposema ni awamu ya kulamba asali, walimaanisha watailamba wao wachache. Wengine tutaishia kung’atwa na nyuki.
 
Kwa hili ndugu umeongea pumba, na umejidhalilisha
Kwa dunia ya sasa hizo basic needs watu wanaweza kuzimudu kupitia Internet hususan biashara za mtandaon n.k
Ukimaliza kupiga kelele njoo chimbo nikuoneshe jinsi ya kutumia data bure kabisa.
 
Basic needs kwa mtu mzima na rijali ni chakula, makazi, mavazi na kujamiana.
Data sio basic need mazee, pigia kelele ishu za msingi.
Kuna watu ili waweze ku afford hizo basic needs (mavazi, makazi, chakula n.k) kwanza wanahitaji data.

Online business, forex, wenye internet cafes, maofisini n.k.

Ulikaririshwa kuwa basic needs ni hizo. Wengine data ndio basic need ya kwanza ndio hizo nyingine zifate.
 
na kupm sasa hivi,asante aisee huo ndiyo msaada sasa niachane na ungesengese unaoendelea
Screenshot_20220730-155956.jpg

Hii ni leo mpaka muda huu
 
Nape akiambiwa kuhusu vifurushi analetaa majibu ya kifalaaaa..
 
Back
Top Bottom