Kinana: Serikali iwachukulie hatua waliotajwa Ripoti za CAG

Kinana: Serikali iwachukulie hatua waliotajwa Ripoti za CAG

njaa mbaya

kwa mara ya kwanza Dr.Slaa anamsifu Jakaya Kikwete

anasema kuna kipindi alimpiga kashfa na tuhuma nzito nzito sana Jakaya halafu asubuhi yake Jakaya akashiriki kwny Fund rising ya Taasisi aliyokuwa anaisimamia Dr Slaa…japo hakuitaja lakin alikuwa anamaanisha CCBRT
Kinana katofautiana na padri muasi Dr W Slaa
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema ni wakati wa Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu waliokutwa wameenda kinyume na maadili katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

Amesema, "CAG hazushi, anafanya kazi zake kitaaluma. Katika Ripoti zake anaeleza kasoro nyingi na mambo yasiyofaa ambayo yamefanyika ikiwemo upotevu wa Fedha za Umma na matumizi mabaya"

Amesema Vyombo husika vya Serikali vina wajibu wa kuchukua hatua ili Fedha za Wananchi zisichezewe
Huyu #Kinana asituingize choo cha kike.

Hivi Serikali itawachukulia hatua bila bunge kuipitia na kuwahoji kwa kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali?

Anazeeka vibaya au utamu wa asali unamlevya.
 
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema ni wakati wa Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu waliokutwa wameenda kinyume na maadili katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

Amesema, "CAG hazushi, anafanya kazi zake kitaaluma. Katika Ripoti zake anaeleza kasoro nyingi na mambo yasiyofaa ambayo yamefanyika ikiwemo upotevu wa Fedha za Umma na matumizi mabaya"

Amesema Vyombo husika vya Serikali vina wajibu wa kuchukua hatua ili Fedha za Wananchi zisichezewe
Kinana ni mtu sana
 
Nimemuangalia usoni kwenye hii picha yake ni kajikuta na sema kwa sauti ya Mwl Nyerere hata wewe unamoral autority ya kuyasema haya?!!! Meli inayobeba mzigo isiyo jua ni kitu gani ilichobeba as long as umelipiwa nauli ya kuusafirisha.
Eti sasa anajifanya kuwa mr msafi. Ingekuwa ni China angeshanyongwa tayari kwa kuhujumu uchumi.
 
Hivi huyu hajawahi kutajwa kwenye tuhuma zozote ? Alichukuliwa Hatua ?

Naomba tufuate ushauri wake ipasavyo... ila sio CAG tu bale tuhuma zozote zichunguzwe na mwisho wa siku haki itendeke
Aliwahi kuuza mitambo ya chanel 10 na mwisho wakaiuza kabisa mpaka pale maguful alivyoirudisha.
Hayao mambo anayasema kwa kuwahadaa wana nchi ila yakigusa washirika hutamsikia tena.

Hata hivyo ni danganya toto ili ionekane kaja na jipya ila baada ya hapo hawezi kuleta mrejesho.
 

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema ni wakati wa Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu waliokutwa wameenda kinyume na maadili katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

Amesema, "CAG hazushi, anafanya kazi zake kitaaluma. Katika Ripoti zake anaeleza kasoro nyingi na mambo yasiyofaa ambayo yamefanyika ikiwemo upotevu wa Fedha za Umma na matumizi mabaya"

Amesema Vyombo husika vya Serikali vina wajibu wa kuchukua hatua ili Fedha za Wananchi zisichezewe
😍😍😍
 
Aliwahi kuuza mitambo ya chanel 10 na mwisho wakaiuza kabisa mpaka pale maguful alivyoirudisha.
Hayao mambo anayasema kwa kuwahadaa wana nchi ila yakigusa washirika hutamsikia tena.

Hata hivyo ni danganya toto ili ionekane kaja na jipya ila baada ya hapo hawezi kuleta mrejesho.

Ushahidi unao ?!!!

Je makosa ya jana yarejewe kesho ?!!!
 
Nimemuangalia usoni kwenye hii picha yake ni kajikuta na sema kwa sauti ya Mwl Nyerere hata wewe unamoral autority ya kuyasema haya?!!! Meli inayobeba mzigo isiyo jua ni kitu gani ilichobeba as long as umelipiwa nauli ya kuusafirisha.
Ukipanda bus la Mzee Mtei na umbeba magendo inamhusuje mwenye bus. Ukipakia mizigo kwenye treni ikashikwa na kugunduliwa pembe za tembo jee shirika la reli na serekali yenye mali wanahusika na hizo nyara? Tuwache unyumbu
 

Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema ni wakati wa Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu waliokutwa wameenda kinyume na maadili katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

Amesema, "CAG hazushi, anafanya kazi zake kitaaluma. Katika Ripoti zake anaeleza kasoro nyingi na mambo yasiyofaa ambayo yamefanyika ikiwemo upotevu wa Fedha za Umma na matumizi mabaya"

Amesema Vyombo husika vya Serikali vina wajibu wa kuchukua hatua ili Fedha za Wananchi zisichezewe
Waanza kwenye Chama.
Mkaguzi mkuu wa Chama cha kisiasa CCM naye aweke wazi kwa wanachama wake/wananchi kwa ujumla tuone kama humo ndani kwao ni kusafi.

Huku ni kutafutana uchawi wakati mazingaombwe wanayoyafanya ni uchawi

Kama ni kweli watafutwe. Washugulikiwe ipasavyo wafikishwe Mahakamani-na tusije sikia walibambikizana-na kushitakiwa. Zaidi ya hapo ni porojo za nenda rudi na siasa za vita za ndani ya chama, vita za kitamaduni za ndani ya Chama cha kisiasa cha CCM.

Waache hayo au watakosa kula kwenye mzinga wa nyuki, kwani nyuki(wananchi) wakiamua kurudi mzingani watachagua mkuu mwingine wa kulinda mzinga
 
Safi sana.
kwa kuwa ripoti ya CAG imebaini baadhi ya maeneo kuwa na ubadhirifu wa fedha za umma tena kizembe basi wahusika wachukuliwe hatua kali za kisheria sio kuachishwa tu bali wafikishwe mahakamani
 
Back
Top Bottom