Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Slaa ni mnafiki mkubwanjaa mbaya
kwa mara ya kwanza Dr.Slaa anamsifu Jakaya Kikwete
anasema kuna kipindi alimpiga kashfa na tuhuma nzito nzito sana Jakaya halafu asubuhi yake Jakaya akashiriki kwny Fund rising ya Taasisi aliyokuwa anaisimamia Dr Slaa…japo hakuitaja lakin alikuwa anamaanisha CCBRT
njaa mbaya
kwa mara ya kwanza Dr.Slaa anamsifu Jakaya Kikwete
anasema kuna kipindi alimpiga kashfa na tuhuma nzito nzito sana Jakaya halafu asubuhi yake Jakaya akashiriki kwny Fund rising ya Taasisi aliyokuwa anaisimamia Dr Slaa…japo hakuitaja lakin alikuwa anamaanisha CCBRT