Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Slaa ni mnafiki mkubwanjaa mbaya
kwa mara ya kwanza Dr.Slaa anamsifu Jakaya Kikwete
anasema kuna kipindi alimpiga kashfa na tuhuma nzito nzito sana Jakaya halafu asubuhi yake Jakaya akashiriki kwny Fund rising ya Taasisi aliyokuwa anaisimamia Dr Slaa…japo hakuitaja lakin alikuwa anamaanisha CCBRT
njaa mbaya
kwa mara ya kwanza Dr.Slaa anamsifu Jakaya Kikwete
anasema kuna kipindi alimpiga kashfa na tuhuma nzito nzito sana Jakaya halafu asubuhi yake Jakaya akashiriki kwny Fund rising ya Taasisi aliyokuwa anaisimamia Dr Slaa…japo hakuitaja lakin alikuwa anamaanisha CCBRT
Samia anapita mle mle kwa JK, kutumia siasa za utendaji haki kwa wanaokuwa chini yake. Kwamba CAG anaposema fulani na fulani ni wachafu na wametuibia pesa nyingi, anakuja KInana kama makamu mwenyekiti na kutoa agizo la kuwashughulikia wezi wote.
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema ni wakati wa Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu waliokutwa wameenda kinyume na maadili katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
Amesema, "CAG hazushi, anafanya kazi zake kitaaluma. Katika Ripoti zake anaeleza kasoro nyingi na mambo yasiyofaa ambayo yamefanyika ikiwemo upotevu wa Fedha za Umma na matumizi mabaya"
Amesema Vyombo husika vya Serikali vina wajibu wa kuchukua hatua ili Fedha za Wananchi zisichezewe
Ukipanda bus la Mzee Mtei na umbeba magendo inamhusuje mwenye bus. Ukipakia mizigo kwenye treni ikashikwa na kugunduliwa pembe za tembo jee shirika la reli na serekali yenye mali wanahusika na hizo nyara? Tuwache unyumbu
Hivi zamu yako inaisha lini kule chattleComrade alipofika umri wa miaka 60 plus alikuwa kachoka sana akaomba apumzike baada ya kutumikia nchi kwa miaka mingi
alipofikisha miaka 70 plus mchoko umeisha karudi ulingoni
mwansiasa mtu hatare sana
CAG hazushi, anafanya kazi zake kitaaluma. Katika Ripoti zake anaeleza kasoro nyingi na mambo yasiyofaa ambayo yamefanyika ikiwemo upotevu wa Fedha za Umma na matumizi mabaya"
Vyombo husika vya Serikali vina wajibu wa kuchukua hatua ili Fedha za Wananchi zisichezewe
Wakiamua iwe hv msumeno uwe kwa kila mtu sio kwingine unapindia pembeni
Hivi Serikali itawachukulia hatua bila bunge kuipitia na kuwahoji kwa kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali?
Hayao mambo anayasema kwa kuwahadaa wana nchi ila yakigusa washirika hutamsikia tena.
Hata hivyo ni danganya toto ili ionekane kaja na jipya ila baada ya hapo hawezi kuleta mrejesho.
Ushahidi unao ?!!!
Je makosa ya jana yarejewe kesho ?!!!
Kama ni kweli watafutwe. Washugulikiwe ipasavyo wafikishwe Mahakamani-na tusije sikia walibambikizana-na kushitakiwa. Zaidi ya hapo ni porojo za nenda rudi na siasa za vita za ndani ya chama, vita za kitamaduni za ndani ya Chama cha kisiasa cha CCM.
Safi sana.
kwa kuwa ripoti ya CAG imebaini baadhi ya maeneo kuwa na ubadhirifu wa fedha za umma tena kizembe basi wahusika wachukuliwe hatua kali za kisheria sio kuachishwa tu bali wafikishwe mahakamani
Tangu alipotamka ni wangapi wamechukuliwa hatua ?Itakuwa vizuri zaidi. Naunga mkono hoja ya Kinana
Wakichukuliwa hatua tunawashupalia Viongozi na kuwaita madikteta, makatili n.k Tumefikia hata kuanza kudai mahakama za ufisadi hazifai?Tangu alipotamka ni wangapi wamechukuliwa hatua ?
Toa hizo tuhuma na ushahidi kama ripoti hii ilimtaja Kinana,sio unaleta pumba za yule mpuuzi hata jina nimelisahauHivi huyu hajawahi kutajwa kwenye tuhuma zozote ? Alichukuliwa Hatua ?
Naomba tufuate ushauri wake ipasavyo... ila sio CAG tu bale tuhuma zozote zichunguzwe na mwisho wa siku haki itendeke
Zilipendwa.
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema ni wakati wa Serikali kuchukua hatua dhidi ya watu waliokutwa wameenda kinyume na maadili katika Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
Amesema, "CAG hazushi, anafanya kazi zake kitaaluma. Katika Ripoti zake anaeleza kasoro nyingi na mambo yasiyofaa ambayo yamefanyika ikiwemo upotevu wa Fedha za Umma na matumizi mabaya"
Amesema Vyombo husika vya Serikali vina wajibu wa kuchukua hatua ili Fedha za Wananchi zisichezewe