Kinana ukiingia Tanga mtafute Bhoke Nyarobi, Afisa Elimu aliyenyanyaswa akaacha kazi

Tuacheni Unafiki Tanzania nzima aliyenyanyasika sana ni huyu Bhoke wako tu? Kinana apiganie Haki na Usawa kwa Watanzania wote na siyo hawa Wachache.
Hawezi kupigania haki za watanzania bali harakati zake za chama.Ameingia kwa mkakati maalum kuelekea2025.Sisi tuendelee kupalua
 
Ameacha kwasababu ya kunyanyaswa. Neno kunyanyaswa ni pana sana mkuu. Wewe shangaa afisa aliyeamua kuacha kazi kwa kunyanyaswa kisa tu amechokonoa maslahi ya chombo ya wakubwa.
Nadhani hapo umeshanielewa mkuu
Mkuu, ni kweli neno kunyanyaswa ni pana, lakini kumbuka kuwa Sheria huwa haitendi haki wakati wote, maana kuna wakati utatakiwa utoe ushahidi wa jambo hilo halafu ukawa huna ingawa ni kweli umetendewa, hapo sheria itakutupa nje.
 
Mkuu, ni kweli neno kunyanyaswa ni pana, lakini kumbuka kuwa Sheria huwa haitendi haki wakati wote, maana kuna wakati utatakiwa utoe ushahidi wa jambo hilo halafu ukawa huna ingawa ni kweli umetendewa, hapo sheria itakutupa nje.
Hata sheria inaangalia mazingira mkuu
 
Nakuja
 
Sasa Kinana nae unamshtakia kuhusu rushwa[emoji23][emoji23], maajabu haya. Kinana nae ana kashfa kibao za kampuni yake ya clearing
Nmeshangaa ..... Haka kajamaa ni katoto hata hakajui kalisemalo. Kabisa unaenda kushtaki kwa kinana? Anyway labda kwa kuwa hana maslah huko. But kinana ni nani mpaka aambiwe haya? So alikuwa anamsubiria kinana muda wote huo?
 
Majungu Work!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…