Ngoma hii hapa, special link hii hapa Profesa BAREGU na Kinana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu unazungumzia ushindi huu kwa tume hiihii? unakumbuka ya kivuitu? sidhani kama kwa katiba hii, tume hii, mbinu hizi kuna 70% victoryNaomba nimsahihishe mh Baregu kwamba ushindi wa Dr Slaa hautakuwa asilimia 50 bali utakuwa asilimia 70. Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu rais aliye madarakani anakwenda kushindwa vibaya.
nenda commission ya elimu ya juuNaomba ufafauzi:
Je, Dr. Slaa doctorate ya Slaa ni ya DD au PhD?
Naomba ufafauzi:
Je, Dr. Slaa doctorate ya Slaa ni ya DD au PhD?
usibishe mtu wangu, JK ni dokta wa ukweli dunian hakuna, kawahtubia wagosi wa tanga kuwa CCm imejenga maabara kubwa na ya kisasa ktk hospital ya bombo dunian hakuna.Leo wana JF Kinana kathubutu kusema Kikwete sio SIZE ya Slaa, nimekubali kwa sababu Kikwete ni "Dakta ??" na Slaa ni "Doctor PhD" ni tofauti mno kiasi kwamba hawawezi kusizeshana!
taratibu na maneno yako manyaufu
Hizo pembe za ndovu zimeuzwa kinyemela ili kupata hela ya kampeni, kumbuka kauli mbiu ya CCM 'ushindi ni lazima' kwa hiyo kesi yake ni sawa na EPA au RADA watakaopatikana nazo wataambiwa wazirudishe halafu ndo itakuwa mwisho wa habari
Naomba ufafauzi:
Je, Dr. Slaa doctorate ya Slaa ni ya DD au PhD?
you are geniousNdo nasikiliza apa Buregu anasema "Ujinga,umasikini na hofu" ndo vinawafanya watu wapite bila kupingwa maeneo fulani fulani.
Alafu Kinana anasema elimu bure haiwezekani bse 71% ya budget ya serikali itatumika kufanikisha ilo.
Tatizo ni kuwa anafikiria hayo kwa kuassume kuwa serikali bado itakuwa ya CCM na source za mapato ni yale yale toka enzi za walimu SODA,BEER,PAYEE