Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kwann uihofie njaa wakati unaweza kulima?Uyu mzee buana njaa ikitokea wao wanakuwa wamejifungia na familia zao huwasikii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann uihofie njaa wakati unaweza kulima?Uyu mzee buana njaa ikitokea wao wanakuwa wamejifungia na familia zao huwasikii
Huyu jirani unayetaka akufikirie ww unamfanyia nn? Shamba lake, pembejeo zake, nguvu kazi yake, kwann mavuno yakuhusishe ww usiyelima?Haitakiwi ufikirie kwa ajili yako mwenyewe tu.
Tunaishi kwenye jamii tunategemeana.
Akiathirika jirani yako hata kama una uwezo kiasi gani utaathirika pia kwa namna moja au nyingine.
Nailed,Wanashangaza sanaHuyu jirani unayetaka akufikirie ww unamfanyia nn? Shamba lake, pembejeo zake, nguvu kazi yake, kwann mavuno yakuhusishe ww usiyelima?
Uongo sera ya Chadema 2020 ilikuwa hata haileweki eti ohh tunataka maendeleo ya watu sio vituhii ilikuwa sera ya chadema 2020, kuruhusu wakulima wauze popote
Wapiganie kwanza mkulima apewe mbegu bure na serikali ilipe vibarua.Nailed,Wanashangaza sana
Inaonekana unajua sana job description ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, mbona hukuteuliwa wewe kuwa Makamu Mwenyekiti? Achana na ujuaji.Huyu mzee anatafuta kufia kwenye majukwaa. Kama alishindwa kukiwa chama salama kipindi cha JK hadi chama kutaka kuwafia mikononi hatoweza sasa.
Kwanza kwa nafasi yake hakutakiwa kuwa mtu wa field, alitakiwa asimame kama mwenyekiti kwa maana ya msaidizi wa mwenyekiti ambaye ni rais. Kuhakikisha anasimamia oganaizesheni zote za chama.
Sasa hapa yeye ndio mpiga ngoma na yeye ndio mchezaji.
Labda kama anatafuta perdiem. Angalia hata idadi ya watu kwenye huo mkutano.
Huyu mzee simuelewi miaka zaidi ya 70 sasa bado anazurura tu si apumzikeHuyu mzee anatafuta kufia kwenye majukwaa. Kama alishindwa kukiwa chama salama kipindi cha JK hadi chama kutaka kuwafia mikononi hatoweza sasa.
Kwanza kwa nafasi yake hakutakiwa kuwa mtu wa field, alitakiwa asimame kama mwenyekiti kwa maana ya msaidizi wa mwenyekiti ambaye ni rais. Kuhakikisha anasimamia oganaizesheni zote za chama.
Sasa hapa yeye ndio mpiga ngoma na yeye ndio mchezaji.
Labda kama anatafuta perdiem. Angalia hata idadi ya watu kwenye huo mkutano.
Huyu mzee simuelewi miaka zaidi ya 70 sasa bado anazurura tu si apumzike
Au yeye anajiona bado kijana sana
Huyu mzee simuelewi miaka zaidi ya 70 sasa bado anazurura tu si apumzike
Au yeye anajiona bado kijana sana
NENDA USA UKAONE, RAIS BIDEN NDIO UMRI WAKE HUOHuyu mzee simuelewi miaka zaidi ya 70 sasa bado anazurura tu si apumzike
Au yeye anajiona bado kijana sana
-Ww huelewi, na hukuisoma sera ya chadema ya 2020, Kauli mbiu yake ilikuwa ni Uhuru,Haki na Maendeleo ya Watu, kama kwa ccm waliposema 'hapa kazi tu'Uongo sera ya Chadema 2020 ilikuwa hata haileweki eti ohh tunataka maendeleo ya watu sio vitu
Anamaliza tozo zetu pasipo sababu, kwani serikali ikituma walaka kwa wakuu wa mikoa na wilaya hautoshi?Huyu mzee anatafuta kufia kwenye majukwaa. Kama alishindwa kukiwa chama salama kipindi cha JK hadi chama kutaka kuwafia mikononi hatoweza sasa.
Kwanza kwa nafasi yake hakutakiwa kuwa mtu wa field, alitakiwa asimame kama mwenyekiti kwa maana ya msaidizi wa mwenyekiti ambaye ni rais. Kuhakikisha anasimamia oganaizesheni zote za chama.
Sasa hapa yeye ndio mpiga ngoma na yeye ndio mchezaji.
Labda kama anatafuta perdiem. Angalia hata idadi ya watu kwenye huo mkutano.
✔️✔️✔️✔️Nihabari njema Sana hii 😍
Hili sio la kweliBaada ya tamko lake akiwa Tunduma juu ya wingi wa traffic barabarani tumeshuhudia kuongezeka kwa ajali za magari. Je, tutegemee Nini baada ya kauli yake hii?
Nakubaliana na Mzee Kinana 100%View attachment 2343997
Kinana ashauri wakulima waachwe wauze popote wanapopata bei nzuri
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Ndugu Abdulrahman Kinana ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya wakulima pale wanapotaka kuuza mazao yao.
Akizungumza na wana CCM na wananchi waliyojitokeza kumlaki Nyakanazi, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, Kinana amesema nia ya mkulima na mfanyakazi ni kuondokana na umasikini na siyo kukutana kubaki katika umaskini kwa sababu ya vikwazo.
“Watu wanalima, watu wanafanyakazi ili kuondokana na umasikini sio kuendelea na umaskini kwa sababu ya vikwazo. Wakati wa kulima hatuwasaidii, wakati wa kupalilia hutuwasaidii, wakati wa kuweka dawa hatuwasaidii,wanapokwenda kuvuna hatuwasaidii, wakishavuna wanataka kuuza wanapoona watapata bei nzuri ndipo na sisi wenye utaratibu tunajitokeza sio sawa.
Ajabu shamba ni la mkulima, kahawa ni yake, mkulima ndio kavuja jasho lakini mnanizuia kuuza ninapoona bei ni nzuri basi nileteeni mwenye bei nzuri niwauzie. Naomba tujiepushe kuwawekea wananchi wetu mazingira magumu wanapotaka kuuza mazao yao.“ alisema Kinana huku akishangiliwa.
Kinana amemuomba mkuu wa mkoa wa Kagera kuwalinda wakulima wanapotaka kuuza kahawa yao nje.
“Hakuna kahawa ya magendo, Kahawa ni yangu nikitaka kuiuza popote kwa yoyote mwenye bei nzuri inakuaje magendo?” Aliuliza Kinana
Kinana ameongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika ziara yake iliyoanzia mkoani Kigoma anatarajiwa kuelekea mkoani Geita kabla ya kuhitimisha katika mkoa wa Mwanza.
#CCMImara #KaziIendelee
Asante Sana CCM watanzania tunajivunia CCM,View attachment 2343997
Kinana ashauri wakulima waachwe wauze popote wanapopata bei nzuri
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Ndugu Abdulrahman Kinana ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya wakulima pale wanapotaka kuuza mazao yao.
Akizungumza na wana CCM na wananchi waliyojitokeza kumlaki Nyakanazi, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, Kinana amesema nia ya mkulima na mfanyakazi ni kuondokana na umasikini na siyo kukutana kubaki katika umaskini kwa sababu ya vikwazo.
“Watu wanalima, watu wanafanyakazi ili kuondokana na umasikini sio kuendelea na umaskini kwa sababu ya vikwazo. Wakati wa kulima hatuwasaidii, wakati wa kupalilia hutuwasaidii, wakati wa kuweka dawa hatuwasaidii,wanapokwenda kuvuna hatuwasaidii, wakishavuna wanataka kuuza wanapoona watapata bei nzuri ndipo na sisi wenye utaratibu tunajitokeza sio sawa.
Ajabu shamba ni la mkulima, kahawa ni yake, mkulima ndio kavuja jasho lakini mnanizuia kuuza ninapoona bei ni nzuri basi nileteeni mwenye bei nzuri niwauzie. Naomba tujiepushe kuwawekea wananchi wetu mazingira magumu wanapotaka kuuza mazao yao.“ alisema Kinana huku akishangiliwa.
Kinana amemuomba mkuu wa mkoa wa Kagera kuwalinda wakulima wanapotaka kuuza kahawa yao nje.
“Hakuna kahawa ya magendo, Kahawa ni yangu nikitaka kuiuza popote kwa yoyote mwenye bei nzuri inakuaje magendo?” Aliuliza Kinana
Kinana ameongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika ziara yake iliyoanzia mkoani Kigoma anatarajiwa kuelekea mkoani Geita kabla ya kuhitimisha katika mkoa wa Mwanza.
#CCMImara #KaziIendelee
lazima yatekelezweNimependa kauli zake tu zanifariji mimi mvuja jasho.Tatizo je maagizo yatatekelezwa?Mana ye mtu wa chama c serikali.Kauli hii angeitowa waziri wa kilimo ingekua sawa.
Kauli za kiutu za kiongozi makini KinanaView attachment 2343997
Kinana ashauri wakulima waachwe wauze popote wanapopata bei nzuri
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Ndugu Abdulrahman Kinana ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya wakulima pale wanapotaka kuuza mazao yao.
Akizungumza na wana CCM na wananchi waliyojitokeza kumlaki Nyakanazi, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, Kinana amesema nia ya mkulima na mfanyakazi ni kuondokana na umasikini na siyo kukutana kubaki katika umaskini kwa sababu ya vikwazo.
“Watu wanalima, watu wanafanyakazi ili kuondokana na umasikini sio kuendelea na umaskini kwa sababu ya vikwazo. Wakati wa kulima hatuwasaidii, wakati wa kupalilia hutuwasaidii, wakati wa kuweka dawa hatuwasaidii,wanapokwenda kuvuna hatuwasaidii, wakishavuna wanataka kuuza wanapoona watapata bei nzuri ndipo na sisi wenye utaratibu tunajitokeza sio sawa.
Ajabu shamba ni la mkulima, kahawa ni yake, mkulima ndio kavuja jasho lakini mnanizuia kuuza ninapoona bei ni nzuri basi nileteeni mwenye bei nzuri niwauzie. Naomba tujiepushe kuwawekea wananchi wetu mazingira magumu wanapotaka kuuza mazao yao.“ alisema Kinana huku akishangiliwa.
Kinana amemuomba mkuu wa mkoa wa Kagera kuwalinda wakulima wanapotaka kuuza kahawa yao nje.
“Hakuna kahawa ya magendo, Kahawa ni yangu nikitaka kuiuza popote kwa yoyote mwenye bei nzuri inakuaje magendo?” Aliuliza Kinana
Kinana ameongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika ziara yake iliyoanzia mkoani Kigoma anatarajiwa kuelekea mkoani Geita kabla ya kuhitimisha katika mkoa wa Mwanza.
#CCMImara #KaziIendelee
CCM YANGU IMERUDI UPYAAAAAView attachment 2343997
Kinana ashauri wakulima waachwe wauze popote wanapopata bei nzuri
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Ndugu Abdulrahman Kinana ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya wakulima pale wanapotaka kuuza mazao yao.
Akizungumza na wana CCM na wananchi waliyojitokeza kumlaki Nyakanazi, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, Kinana amesema nia ya mkulima na mfanyakazi ni kuondokana na umasikini na siyo kukutana kubaki katika umaskini kwa sababu ya vikwazo.
“Watu wanalima, watu wanafanyakazi ili kuondokana na umasikini sio kuendelea na umaskini kwa sababu ya vikwazo. Wakati wa kulima hatuwasaidii, wakati wa kupalilia hutuwasaidii, wakati wa kuweka dawa hatuwasaidii,wanapokwenda kuvuna hatuwasaidii, wakishavuna wanataka kuuza wanapoona watapata bei nzuri ndipo na sisi wenye utaratibu tunajitokeza sio sawa.
Ajabu shamba ni la mkulima, kahawa ni yake, mkulima ndio kavuja jasho lakini mnanizuia kuuza ninapoona bei ni nzuri basi nileteeni mwenye bei nzuri niwauzie. Naomba tujiepushe kuwawekea wananchi wetu mazingira magumu wanapotaka kuuza mazao yao.“ alisema Kinana huku akishangiliwa.
Kinana amemuomba mkuu wa mkoa wa Kagera kuwalinda wakulima wanapotaka kuuza kahawa yao nje.
“Hakuna kahawa ya magendo, Kahawa ni yangu nikitaka kuiuza popote kwa yoyote mwenye bei nzuri inakuaje magendo?” Aliuliza Kinana
Kinana ameongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika ziara yake iliyoanzia mkoani Kigoma anatarajiwa kuelekea mkoani Geita kabla ya kuhitimisha katika mkoa wa Mwanza.
#CCMImara #KaziIendelee