Kinana: Waacheni wakulima wauze mazao yao sehemu yoyote wanayodhani watapata bei nzuri

Kinana: Waacheni wakulima wauze mazao yao sehemu yoyote wanayodhani watapata bei nzuri

Haitakiwi ufikirie kwa ajili yako mwenyewe tu.

Tunaishi kwenye jamii tunategemeana.

Akiathirika jirani yako hata kama una uwezo kiasi gani utaathirika pia kwa namna moja au nyingine.
Huyu jirani unayetaka akufikirie ww unamfanyia nn? Shamba lake, pembejeo zake, nguvu kazi yake, kwann mavuno yakuhusishe ww usiyelima?
 
Huyu jirani unayetaka akufikirie ww unamfanyia nn? Shamba lake, pembejeo zake, nguvu kazi yake, kwann mavuno yakuhusishe ww usiyelima?
Nailed,Wanashangaza sana
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Huyu mzee anatafuta kufia kwenye majukwaa. Kama alishindwa kukiwa chama salama kipindi cha JK hadi chama kutaka kuwafia mikononi hatoweza sasa.

Kwanza kwa nafasi yake hakutakiwa kuwa mtu wa field, alitakiwa asimame kama mwenyekiti kwa maana ya msaidizi wa mwenyekiti ambaye ni rais. Kuhakikisha anasimamia oganaizesheni zote za chama.

Sasa hapa yeye ndio mpiga ngoma na yeye ndio mchezaji.

Labda kama anatafuta perdiem. Angalia hata idadi ya watu kwenye huo mkutano.
Inaonekana unajua sana job description ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, mbona hukuteuliwa wewe kuwa Makamu Mwenyekiti? Achana na ujuaji.
 
Huyu mzee anatafuta kufia kwenye majukwaa. Kama alishindwa kukiwa chama salama kipindi cha JK hadi chama kutaka kuwafia mikononi hatoweza sasa.

Kwanza kwa nafasi yake hakutakiwa kuwa mtu wa field, alitakiwa asimame kama mwenyekiti kwa maana ya msaidizi wa mwenyekiti ambaye ni rais. Kuhakikisha anasimamia oganaizesheni zote za chama.

Sasa hapa yeye ndio mpiga ngoma na yeye ndio mchezaji.

Labda kama anatafuta perdiem. Angalia hata idadi ya watu kwenye huo mkutano.
Huyu mzee simuelewi miaka zaidi ya 70 sasa bado anazurura tu si apumzike

Au yeye anajiona bado kijana sana
 
NENDA USA UKAONE, RAIS BIDEN NDIO UMRI WAKE HUO
Huyu mzee simuelewi miaka zaidi ya 70 sasa bado anazurura tu si apumzike

Au yeye anajiona bado kijana sana
Huyu mzee simuelewi miaka zaidi ya 70 sasa bado anazurura tu si apumzike

Au yeye anajiona bado kijana sana
Huyu mzee simuelewi miaka zaidi ya 70 sasa bado anazurura tu si apumzike

Au yeye anajiona bado kijana sana
NENDA USA UKAONE, RAIS BIDEN NDIO UMRI WAKE HUO
 
Uongo sera ya Chadema 2020 ilikuwa hata haileweki eti ohh tunataka maendeleo ya watu sio vitu
-Ww huelewi, na hukuisoma sera ya chadema ya 2020, Kauli mbiu yake ilikuwa ni Uhuru,Haki na Maendeleo ya Watu, kama kwa ccm waliposema 'hapa kazi tu'
- sera ya chadema ya 2020 ilikuwa na mambo mengi miongoni mwao ilikuwa ni haki ya mkulima/ wakulima kuuza mazao yao popote penye bei nzuri na yenye faida maradufu, hiyo ni sehemu ya ile kauli mbiu ya HAKI- haki za wakulima.
 
Huyu mzee anatafuta kufia kwenye majukwaa. Kama alishindwa kukiwa chama salama kipindi cha JK hadi chama kutaka kuwafia mikononi hatoweza sasa.

Kwanza kwa nafasi yake hakutakiwa kuwa mtu wa field, alitakiwa asimame kama mwenyekiti kwa maana ya msaidizi wa mwenyekiti ambaye ni rais. Kuhakikisha anasimamia oganaizesheni zote za chama.

Sasa hapa yeye ndio mpiga ngoma na yeye ndio mchezaji.

Labda kama anatafuta perdiem. Angalia hata idadi ya watu kwenye huo mkutano.
Anamaliza tozo zetu pasipo sababu, kwani serikali ikituma walaka kwa wakuu wa mikoa na wilaya hautoshi?
 
Mzee wa kungata na kupuliza.

Onyesha akipinga TOZO kwenye utawala unajiita wa sita ndio nitaamini anachokisema kamaanisha.
 
Baada ya tamko lake akiwa Tunduma juu ya wingi wa traffic barabarani tumeshuhudia kuongezeka kwa ajali za magari. Je, tutegemee Nini baada ya kauli yake hii?
 
..Mzee Kinana ameiga hoja za Tundu Lissu wakati wa kampeni za 2020.

..Sasa naelewa kwanini Ccm hawataki Chadema wafanye mikutano ya hadhara.

 
View attachment 2343997

Kinana ashauri wakulima waachwe wauze popote wanapopata bei nzuri

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Ndugu Abdulrahman Kinana ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya wakulima pale wanapotaka kuuza mazao yao.

Akizungumza na wana CCM na wananchi waliyojitokeza kumlaki Nyakanazi, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, Kinana amesema nia ya mkulima na mfanyakazi ni kuondokana na umasikini na siyo kukutana kubaki katika umaskini kwa sababu ya vikwazo.

“Watu wanalima, watu wanafanyakazi ili kuondokana na umasikini sio kuendelea na umaskini kwa sababu ya vikwazo. Wakati wa kulima hatuwasaidii, wakati wa kupalilia hutuwasaidii, wakati wa kuweka dawa hatuwasaidii,wanapokwenda kuvuna hatuwasaidii, wakishavuna wanataka kuuza wanapoona watapata bei nzuri ndipo na sisi wenye utaratibu tunajitokeza sio sawa.

Ajabu shamba ni la mkulima, kahawa ni yake, mkulima ndio kavuja jasho lakini mnanizuia kuuza ninapoona bei ni nzuri basi nileteeni mwenye bei nzuri niwauzie. Naomba tujiepushe kuwawekea wananchi wetu mazingira magumu wanapotaka kuuza mazao yao.“ alisema Kinana huku akishangiliwa.

Kinana amemuomba mkuu wa mkoa wa Kagera kuwalinda wakulima wanapotaka kuuza kahawa yao nje.

“Hakuna kahawa ya magendo, Kahawa ni yangu nikitaka kuiuza popote kwa yoyote mwenye bei nzuri inakuaje magendo?” Aliuliza Kinana

Kinana ameongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika ziara yake iliyoanzia mkoani Kigoma anatarajiwa kuelekea mkoani Geita kabla ya kuhitimisha katika mkoa wa Mwanza.

#CCMImara #KaziIendelee
Nakubaliana na Mzee Kinana 100%
 
View attachment 2343997

Kinana ashauri wakulima waachwe wauze popote wanapopata bei nzuri

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Ndugu Abdulrahman Kinana ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya wakulima pale wanapotaka kuuza mazao yao.

Akizungumza na wana CCM na wananchi waliyojitokeza kumlaki Nyakanazi, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, Kinana amesema nia ya mkulima na mfanyakazi ni kuondokana na umasikini na siyo kukutana kubaki katika umaskini kwa sababu ya vikwazo.

“Watu wanalima, watu wanafanyakazi ili kuondokana na umasikini sio kuendelea na umaskini kwa sababu ya vikwazo. Wakati wa kulima hatuwasaidii, wakati wa kupalilia hutuwasaidii, wakati wa kuweka dawa hatuwasaidii,wanapokwenda kuvuna hatuwasaidii, wakishavuna wanataka kuuza wanapoona watapata bei nzuri ndipo na sisi wenye utaratibu tunajitokeza sio sawa.

Ajabu shamba ni la mkulima, kahawa ni yake, mkulima ndio kavuja jasho lakini mnanizuia kuuza ninapoona bei ni nzuri basi nileteeni mwenye bei nzuri niwauzie. Naomba tujiepushe kuwawekea wananchi wetu mazingira magumu wanapotaka kuuza mazao yao.“ alisema Kinana huku akishangiliwa.

Kinana amemuomba mkuu wa mkoa wa Kagera kuwalinda wakulima wanapotaka kuuza kahawa yao nje.

“Hakuna kahawa ya magendo, Kahawa ni yangu nikitaka kuiuza popote kwa yoyote mwenye bei nzuri inakuaje magendo?” Aliuliza Kinana

Kinana ameongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika ziara yake iliyoanzia mkoani Kigoma anatarajiwa kuelekea mkoani Geita kabla ya kuhitimisha katika mkoa wa Mwanza.

#CCMImara #KaziIendelee
Asante Sana CCM watanzania tunajivunia CCM,
 
View attachment 2343997

Kinana ashauri wakulima waachwe wauze popote wanapopata bei nzuri

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Ndugu Abdulrahman Kinana ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya wakulima pale wanapotaka kuuza mazao yao.

Akizungumza na wana CCM na wananchi waliyojitokeza kumlaki Nyakanazi, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, Kinana amesema nia ya mkulima na mfanyakazi ni kuondokana na umasikini na siyo kukutana kubaki katika umaskini kwa sababu ya vikwazo.

“Watu wanalima, watu wanafanyakazi ili kuondokana na umasikini sio kuendelea na umaskini kwa sababu ya vikwazo. Wakati wa kulima hatuwasaidii, wakati wa kupalilia hutuwasaidii, wakati wa kuweka dawa hatuwasaidii,wanapokwenda kuvuna hatuwasaidii, wakishavuna wanataka kuuza wanapoona watapata bei nzuri ndipo na sisi wenye utaratibu tunajitokeza sio sawa.

Ajabu shamba ni la mkulima, kahawa ni yake, mkulima ndio kavuja jasho lakini mnanizuia kuuza ninapoona bei ni nzuri basi nileteeni mwenye bei nzuri niwauzie. Naomba tujiepushe kuwawekea wananchi wetu mazingira magumu wanapotaka kuuza mazao yao.“ alisema Kinana huku akishangiliwa.

Kinana amemuomba mkuu wa mkoa wa Kagera kuwalinda wakulima wanapotaka kuuza kahawa yao nje.

“Hakuna kahawa ya magendo, Kahawa ni yangu nikitaka kuiuza popote kwa yoyote mwenye bei nzuri inakuaje magendo?” Aliuliza Kinana

Kinana ameongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika ziara yake iliyoanzia mkoani Kigoma anatarajiwa kuelekea mkoani Geita kabla ya kuhitimisha katika mkoa wa Mwanza.

#CCMImara #KaziIendelee
Kauli za kiutu za kiongozi makini Kinana
 
View attachment 2343997

Kinana ashauri wakulima waachwe wauze popote wanapopata bei nzuri

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania bara Ndugu Abdulrahman Kinana ametoa wito wa kuondolewa kwa vikwazo dhidi ya wakulima pale wanapotaka kuuza mazao yao.

Akizungumza na wana CCM na wananchi waliyojitokeza kumlaki Nyakanazi, Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, Kinana amesema nia ya mkulima na mfanyakazi ni kuondokana na umasikini na siyo kukutana kubaki katika umaskini kwa sababu ya vikwazo.

“Watu wanalima, watu wanafanyakazi ili kuondokana na umasikini sio kuendelea na umaskini kwa sababu ya vikwazo. Wakati wa kulima hatuwasaidii, wakati wa kupalilia hutuwasaidii, wakati wa kuweka dawa hatuwasaidii,wanapokwenda kuvuna hatuwasaidii, wakishavuna wanataka kuuza wanapoona watapata bei nzuri ndipo na sisi wenye utaratibu tunajitokeza sio sawa.

Ajabu shamba ni la mkulima, kahawa ni yake, mkulima ndio kavuja jasho lakini mnanizuia kuuza ninapoona bei ni nzuri basi nileteeni mwenye bei nzuri niwauzie. Naomba tujiepushe kuwawekea wananchi wetu mazingira magumu wanapotaka kuuza mazao yao.“ alisema Kinana huku akishangiliwa.

Kinana amemuomba mkuu wa mkoa wa Kagera kuwalinda wakulima wanapotaka kuuza kahawa yao nje.

“Hakuna kahawa ya magendo, Kahawa ni yangu nikitaka kuiuza popote kwa yoyote mwenye bei nzuri inakuaje magendo?” Aliuliza Kinana

Kinana ameongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka katika ziara yake iliyoanzia mkoani Kigoma anatarajiwa kuelekea mkoani Geita kabla ya kuhitimisha katika mkoa wa Mwanza.

#CCMImara #KaziIendelee
CCM YANGU IMERUDI UPYAAAAA
 
Back
Top Bottom