Kinara wa nishati safi mbona unaturudisha kwenye diesel?

Kinara wa nishati safi mbona unaturudisha kwenye diesel?

davedas

Senior Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
163
Reaction score
123
Naona TRC wanataka kwenda kununua treni la diesel for emergency lakini me najiuliza kwani haliwezi kutumia gas?
Diesel tunanunua nje ila gas tunazalisha hapa sasa kwanini tusitumie la gas ili dollar zibaki hapa hapa.
Mbaya zaidi President wetu ndo kinara wa nishati safi Africa halafu eti nchi yake inaenda kununua treni la diesel aargh sio sawa aisee.
Kadogosa, hebu pambaneni tupate la gas hata kama ni la emergency.​

 
Nchi linajiendea tu hakuna mipango tumekuwa wa kukurupuka, tukiona wenzetu wamefanya jambo nasi tunaiga tu.
Hatujafikia kiwango cha kuendesha treni za umeme,kwanza hatuna umeme wa uhakika, pili hatuwezi kulinda hiyo miundombinu ya treni za umeme ndiyo maana kila siku unasikia mara nyaya zimeibwa au kukatwa halafu wanasingizia tembo na isitoshe wananchi wengi hawajui wala kuona umuhimu wa kutunza hiyo miundombinu si kwa sababu ya kukosa uzalendo ila hawajui umuhimu wake na hawajali madhara yake.
 
Chini ya utawala wa mama miradi mingi inakufa tu.treni ndiyo inakufa hivo,yaani kutoka ya umeme Hadi kuwa la diesel? Mradi wa mabasi(BRT)umekufa,mradi wa barabara ya express kutoka dar Hadi morogoro umekufa,shirika la ndege linapumulia mashine pamoja na miradi mwingine mingi imesimama.
 
Naona TRC wanataka kwenda kununua treni la diesel for emergency lakini me najiuliza kwani haliwezi kutumia gas?
Diesel tunanunua nje ila gas tunazalisha hapa sasa kwanini tusitumie la gas ili dollar zibaki hapa hapa.
Mbaya zaidi President wetu ndo kinara wa nishati safi Africa halafu eti nchi yake inaenda kununua treni la diesel aargh sio sawa aisee.
Kadogosa, hebu pambaneni tupate la gas hata kama ni la emergency.​

🤣🤣🤣 ivi kwann Tanzania isiingie kweny maajabu 8 ya dunia
 
Nakushangaa wewe unayeshangaa yasiyoshangaza..., Achana na hilo kuna issue ambayo inamuathiri kila Mtanzania...,
  1. Yaani Mtanzania anapikia Kuni Bure..., tunamkataza kutumia Kuni ili twende kwenye Nishati Safi ambapo tunapata misaada lukuki kwahio pesa zipo za wahisani
  2. Badala ya kumsaidia mtanzania huyu ambaye Nishati Safi anayo (UMEME) na anaweza kupikia kwa sasa vijijini kwa 100 /= per unit tunampa mitungi bure (awe teja) na kununua gesi ambayo itamgharimu 392/= per unit
  3. Mbaya zaidi badala ya kutumia umeme ambao upo na ni wa kwetu tunaanza propaganda za kutoa ruzuku kwenye hio gesi (LPG) ambayo siyo yetu na tunaagiza kutoka nje na hata kama tukimpa ruzuku hio ni kwamba tunachukua Kodi zake kwenye mfuko wa shati ili eti tumrudishie kama Ruzuku wakati angeokoa zaidi ya Tshs 292 kama tu tungemwambia atumie Umeme
Kwahio kwa mtiririko huu nimekupa jibu Hawa wote Overpaid Underperforming Politicians hawapo hapo kumtumikia mwananchi bali matumbo yao and their cronies.....


Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
 
Nakushangaa wewe unayeshangaa yasiyoshangaza..., Achana na hilo kuna issue ambayo inamuathiri kila Mtanzania...,
  1. Yaani Mtanzania anapikia Kuni Bure..., tunamkataza kutumia Kuni ili twende kwenye Nishati Safi ambapo tunapata misaada lukuki kwahio pesa zipo za wahisani
  2. Badala ya kumsaidia mtanzania huyu ambaye Nishati Safi anayo (UMEME) na anaweza kupikia kwa sasa vijijini kwa 100 /= per unit tunampa mitungi bure (awe teja) na kununua gesi ambayo itamgharimu 392/= per unit
  3. Mbaya zaidi badala ya kutumia umeme ambao upo na ni wa kwetu tunaanza propaganda za kutoa ruzuku kwenye hio gesi (LPG) ambayo siyo yetu na tunaagiza kutoka nje na hata kama tukimpa ruzuku hio ni kwamba tunachukua Kodi zake kwenye mfuko wa shati ili eti tumrudishie kama Ruzuku wakati angeokoa zaidi ya Tshs 292 kama tu tungemwambia atumie Umeme
Kwahio kwa mtiririko huu nimekupa jibu Hawa wote Overpaid Underperforming Politicians hawapo hapo kumtumikia mwananchi bali matumbo yao and their cronies.....


Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
Uzi uishie hapa.
 
Naona TRC wanataka kwenda kununua treni la diesel for emergency lakini me najiuliza kwani haliwezi kutumia gas?
Diesel tunanunua nje ila gas tunazalisha hapa sasa kwanini tusitumie la gas ili dollar zibaki hapa hapa.
Mbaya zaidi President wetu ndo kinara wa nishati safi Africa halafu eti nchi yake inaenda kununua treni la diesel aargh sio sawa aisee.
Kadogosa, hebu pambaneni tupate la gas hata kama ni la emergency.​

Mwanzo wa mwisho, muvi imeingia pati two, tulianza na bundi eti macho yao makubwa yanaitisha treni! Ikaja nyani, eti wanafurahia kucheza sarakasi kwenye waya za stimu! Sasa tunarudi kwenye wese!
Sijui nauli zitakuwa ni zilezile au sawa na za mabasi?
 
Naona TRC wanataka kwenda kununua treni la diesel for emergency lakini me najiuliza kwani haliwezi kutumia gas?
Diesel tunanunua nje ila gas tunazalisha hapa sasa kwanini tusitumie la gas ili dollar zibaki hapa hapa.
Mbaya zaidi President wetu ndo kinara wa nishati safi Africa halafu eti nchi yake inaenda kununua treni la diesel aargh sio sawa aisee.
Kadogosa, hebu pambaneni tupate la gas hata kama ni la emergency.​

Halafu eti wanahimiza wananchi watumie nishati mbadala wakao wao wanarudi kwenye diezel inayoharibu mazingira. Viongozi inabidi wawe wakweli waache siasa kwenye mambo ya msingi na ya kisayansi.
 
Sasa ukitaka kujua Mchawi ni mtu wa namna ipi ..Jifunze kupitia TRC,Simple like that..😀😀😀
 
Roho ya upigaji ikishatamalaki, akili zote zinapotea,
Hawawezi kuwaza mazuri wakati akili ipo kwenye kuiba tu
 
Naona TRC wanataka kwenda kununua treni la diesel for emergency lakini me najiuliza kwani haliwezi kutumia gas?
Diesel tunanunua nje ila gas tunazalisha hapa sasa kwanini tusitumie la gas ili dollar zibaki hapa hapa.
Mbaya zaidi President wetu ndo kinara wa nishati safi Africa halafu eti nchi yake inaenda kununua treni la diesel aargh sio sawa aisee.
Kadogosa, hebu pambaneni tupate la gas hata kama ni la emergency.​

Bora umehairisha kabisa
IMG_3217.jpeg
 
Naona TRC wanataka kwenda kununua treni la diesel for emergency lakini me najiuliza kwani haliwezi kutumia gas?
Diesel tunanunua nje ila gas tunazalisha hapa sasa kwanini tusitumie la gas ili dollar zibaki hapa hapa.
Mbaya zaidi President wetu ndo kinara wa nishati safi Africa halafu eti nchi yake inaenda kununua treni la diesel aargh sio sawa aisee.
Kadogosa, hebu pambaneni tupate la gas hata kama ni la emergency.​

Watu walionya bado hatujafika kwenye level ya umeme wao wakabisha. Haya sasa! Ngozi nyeusi ina laana.
 
Watu walionya bado hatujafika kwenye level ya umeme wao wakabisha. Haya sasa! Ngozi nyeusi ina laana.
Sio kweli kwamba hatujafika levels hzo
Ni vile tu utashi wa watu wetu ndo tatz mfano wapo wanaoharibu miundo mbinu ili kupata pesa kidog wakati uwepo wa hyo kitu una faida zaidi
 
Back
Top Bottom