Kinara wa ODM, Raila Odinga Amezindua uongozi mpya wa chama hicho

Kinara wa ODM, Raila Odinga Amezindua uongozi mpya wa chama hicho

Siasa za Kenya haziendi kama za huku bongo,,,hao ni wazee wa cartles ,hata hayo maandamano ya Gen Z kuna mtu alikua anasakwa tu atolewe kafara na kweli akaingia kwenye 18 zao,,,,mkalenjin ni rahisi sana kupatana na mjaluo kuliko kupatana na mbantu mkikuyu
Ni kweli mkuu na hata huyo Ruto ni mwanafunzi wa Raila Odinga kwenye

Siasa kwa miaka mingi, mfano ni uchaguzi wa 2007.
 
Kikubwa mambo yake yanaenda,,,,huyo hata asipokua serikalini bado ana nguvu kuliko hata huyo makamu au hata mawaziri wa kwenye hio serikali
Ananguvu sana ndio maana maraisi wote huwa wanajiweka karibu nae

mbali ya kusikilizwa zaidi huko kwao ila ana wafuasi nchi nzima.
 
Ubinafsiiiii....njaaaa
Ndio shida inatakiwa wawe na biashara kama wana siasa wa upinzani wa Kenya
wasikae tu kutegemea siasa tu Check mfano wa Raila, akina Mike Sonko

Ali Hassan Joho na wengine wengi wana biashara na ni mtajiri hata
akikaa bench miaka 5 hawalii ovyo kama Mchungaji Msigwa.
 
Ndio shida inatakiwa wawe na biashara kama wana siasa wa Kenya
wasikae tu kutegemea siasa. Check mfano wa Raila, akina Mike Sonko

Ali Hassan Joho na wengine wengi wana biashara na ni mtajiri hata
akikaa bench miaka 5 hawalii ovyo kama Mchungaji Msigwa.
Msigwa ni aibu.....njaa iko kichwani imeua ubongo....anaropoka tu....hata wakumteua wanajuta naamini hivyo.....kapeleka story uomgo mzee wa watu skauliwa....hakuna lolote alilokuwa nalo...

Ambalo tishio kwa usalama wa nchi.....damu yake haitamuacha salama....muda utasema
 
Msigwa ni aibu.....njaa iko kichwani imeua ubongo....anaropoka tu....hata wakumteua wanajuta naamini hivyo.....kapeleka story uomgo mzee wa watu skauliwa....hakuna lolote alilokuwa nalo...

Ambalo tishio kwa usalama wa nchi.....damu yake haitamuacha salama....muda utasema
Ina sikitisha sana kwa kweli njaa mbaya inaondoa utu wa mtu ukiiendekeza.
 
Raila Odinga ametoka kwenye uongozi wa chama cha ODM naona

ni maandalizi ya kwenda AU hapo February 2025.

Je ikitokea amekosa uenyikiti wa AU atarudi kwenye nafasi yake ya
mwenyekiti wa ODM au atabaki kama mshauri na mzee wa chama.

Salamu kwenu watu wa Sayansi ya Siasa.
Baba Raila Odinga anakua Naibu Rais baada ya Gachagua kufurushwa ofisin
 
Raila Odinga ametoka kwenye uongozi wa chama cha ODM naona

ni maandalizi ya kwenda AU hapo February 2025.

Je ikitokea amekosa uenyikiti wa AU atarudi kwenye nafasi yake ya
mwenyekiti wa ODM au atabaki kama mshauri na mzee wa chama.

Salamu kwenu watu wa Sayansi ya Siasa.
Naona kama mbinu ya vigogo wa Kenya kumpotezea. Tofauti karibu na viongozi karibu wote ndiye pekee mwenye fikra kuiona kenya yenye uchumi wa kumjali kabwela. Wengine wamejaa ukabila, ubinafsi na ni wapenda rushwa na ubwanyenye. Wanasiasa wengine wamekua wanamtumia tu kuingia bungeni huku wakiogopa asije kuweza kua rais. Sasa wanaona kashazeeka wamepata namna ya kumuweka pembeni au tuseme kumstaafisha.
 
CATHERINE RUGE AWALAZA CHUMBA KIMOJA MBOWE NA SALUM MWALIMU

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezidi kuzama kwenye mgogoro wa ndani unaochochewa na mahusiano tata ya kimapenzi baina ya viongozi wake wakuu.

Mapenzi haya yameleta mfarakano mkubwa katika uongozi wa chama, hali inayotishia kuathiri mustakabali wa kisiasa wa CHADEMA mbele ya wapiga kura.

Habari za ndani zinadokeza kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake (BAWACHA) Taifa, Catherine Ruge, aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu, na wawili hao wamejaliwa kupata mtoto mmoja.

Hata hivyo, mahusiano yao yamefifia huku Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe, akihusishwa kuwa mpenzi mpya wa Catherine, jambo ambalo limezua uhasama mkubwa na kuzidisha mgawanyiko ndani ya chama.

Viongozi wanasema kuwa mgogoro huu wa mapenzi umemuharibia Salum nafasi yake ya ushawishi, huku chama kikimshuku kuwa huenda anapanga kujiunga na CCM kutokana na kusifia juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan.

Kutengwa kwake kisiasa kumekuja na matokeo makubwa, kwani mara kadhaa amewekwa pembeni kwenye vikao vya maamuzi vya CHADEMA, huku ikielezwa kwamba hata hoteli anayofikia Mbowe haimruhusu Salum kuingia, ikitoa nafasi kwa Mbowe na Catherine kufurahia uhusiano wao bila kizuizi.

Migogoro ya aina hii si tu inachochea mgawanyiko bali pia inapoteza imani ya wanachama na umma kwa ujumla.

Badala ya kuimarisha upinzani dhidi ya CCM, viongozi wa CHADEMA wanajihusisha na migogoro binafsi inayochochea fitina na usaliti.

Ikiwa hali hii haitadhibitiwa, chama kinaweza kuendelea kudhoofika, kikikosa umoja na dira, na hatimaye kupoteza nafasi yake kama mpinzani imara wa kisiasa nchini.
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    55.4 KB · Views: 1
Naona kama mbinu ya vigogo wa Kenya kumpotezea. Tofauti karibu na viongozi karibu wote ndiye pekee mwenye fikra kuiona kenya yenye uchumi wa kumjali kabwela. Wengine wamejaa ukabila, ubinafsi na ni wapenda rushwa na ubwanyenye. Wanasiasa wengine wamekua wanamtumia tu kuingia bungeni huku wakiogopa asije kuweza kua rais. Sasa wanaona kashazeeka wamepata namna ya kumuweka pembeni au tuseme kumstaafisha.
Na Wakenya wanasema atakosa huko AU japo mimi

Siamini kama atashindwa kwa sababu viongozi wengi
wamemuunga mkono.
 
CATHERINE RUGE AWALAZA CHUMBA KIMOJA MBOWE NA SALUM MWALIMU

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezidi kuzama kwenye mgogoro wa ndani unaochochewa na mahusiano tata ya kimapenzi baina ya viongozi wake wakuu.

Mapenzi haya yameleta mfarakano mkubwa katika uongozi wa chama, hali inayotishia kuathiri mustakabali wa kisiasa wa CHADEMA mbele ya wapiga kura.

Habari za ndani zinadokeza kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake (BAWACHA) Taifa, Catherine Ruge, aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu, na wawili hao wamejaliwa kupata mtoto mmoja.

Hata hivyo, mahusiano yao yamefifia huku Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe, akihusishwa kuwa mpenzi mpya wa Catherine, jambo ambalo limezua uhasama mkubwa na kuzidisha mgawanyiko ndani ya chama.

Viongozi wanasema kuwa mgogoro huu wa mapenzi umemuharibia Salum nafasi yake ya ushawishi, huku chama kikimshuku kuwa huenda anapanga kujiunga na CCM kutokana na kusifia juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan.

Kutengwa kwake kisiasa kumekuja na matokeo makubwa, kwani mara kadhaa amewekwa pembeni kwenye vikao vya maamuzi vya CHADEMA, huku ikielezwa kwamba hata hoteli anayofikia Mbowe haimruhusu Salum kuingia, ikitoa nafasi kwa Mbowe na Catherine kufurahia uhusiano wao bila kizuizi.

Migogoro ya aina hii si tu inachochea mgawanyiko bali pia inapoteza imani ya wanachama na umma kwa ujumla.

Badala ya kuimarisha upinzani dhidi ya CCM, viongozi wa CHADEMA wanajihusisha na migogoro binafsi inayochochea fitina na usaliti.

Ikiwa hali hii haitadhibitiwa, chama kinaweza kuendelea kudhoofika, kikikosa umoja na dira, na hatimaye kupoteza nafasi yake kama mpinzani imara wa kisiasa nchini.
Yana ukweli haya mkuu au ndio siasa za maji taka?
 
Back
Top Bottom