Kindoo cha lita 10 kikijaa msosi nina uwezo wa kula na kumaliza msos peke yangu.ushauri please.

Kindoo cha lita 10 kikijaa msosi nina uwezo wa kula na kumaliza msos peke yangu.ushauri please.

GUTWE

Senior Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
193
Reaction score
24
Habari madoctor wa jf .mimi nina uwezo wa kumaliza chakula chenye ujazo wa kindo lita kumi,je! linaweza likawa tatizo lolote tumbon mwangu?.halafu cha ajabu sipati haja kubwa nina mwezi sasa...naomba ushaur.......
 
Eh bwana eeeeehhhhhhh. Kazi kweli kweli.
 
Duu, umenikumbusha wakati niko O-Level kule Tanga (TTS), jamaa walibishana kama kuna mtu anaweza maliza mikate 10. Msukuma mmoja toka Magu, Masanzakona, kijiji cha Gininiga akadai yeye anaweza. Ikaamuriwa kuwa akiweza kuila yote hamna deni ila, akishindwa kuimaliza mikate hiyo kumi basi anapaswa kulipa mikate hiyo pamoja na ile aloibakiza. Jamaa alituacha hoi kwa kuomba chai ya rangi kikombe cha nusu lita, alipoletewa alianza kama ifuatavyo.....Jamaa aliipiga ile mikate mikavumikavu wa kwanza hadi wa 8, akashushia na funda la chai.......jamaa aliyenunua ile mikate kuona hivyo akaamua kuipora ile 2 ilobaki ili asipate hasara....
 
Duu, umenikumbusha wakati niko O-Level kule Tanga (TTS), jamaa walibishana kama kuna mtu anaweza maliza mikate 10. Msukuma mmoja toka Magu, Masanzakona, kijiji cha Gininiga akadai yeye anaweza. Ikaamuriwa kuwa akiweza kuila yote hamna deni ila, akishindwa kuimaliza mikate hiyo kumi basi anapaswa kulipa mikate hiyo pamoja na ile aloibakiza. Jamaa alituacha hoi kwa kuomba chai ya rangi kikombe cha nusu lita, alipoletewa alianza kama ifuatavyo.....Jamaa aliipiga ile mikate mikavumikavu wa kwanza hadi wa 8, akashushia na funda la chai.......jamaa aliyenunua ile mikate kuona hivyo akaamua kuipora ile 2 ilobaki ili asipate hasara....

Hahaaahah ilikuwa enzi za Teti?
 
Huo ni uwezo wako Mkuu wa kumenyuka
sasa Ushauriwe nini tena ?
Maana mtu akisema usile hivyo ni wazi
utakaa na njaa sasa huoni tena utajitesa.
 
Duu, umenikumbusha wakati niko O-Level kule Tanga (TTS), jamaa walibishana kama kuna mtu anaweza maliza mikate 10. Msukuma mmoja toka Magu, Masanzakona, kijiji cha Gininiga akadai yeye anaweza. Ikaamuriwa kuwa akiweza kuila yote hamna deni ila, akishindwa kuimaliza mikate hiyo kumi basi anapaswa kulipa mikate hiyo pamoja na ile aloibakiza. Jamaa alituacha hoi kwa kuomba chai ya rangi kikombe cha nusu lita, alipoletewa alianza kama ifuatavyo.....Jamaa aliipiga ile mikate mikavumikavu wa kwanza hadi wa 8, akashushia na funda la chai.......jamaa aliyenunua ile mikate kuona hivyo akaamua kuipora ile 2 ilobaki ili asipate hasara....

Hahahaha
 
wewe unafaa kwenye mashindano ya kula, unafaa kuwakilisha nchi
 
Back
Top Bottom