Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au umetoboka?
eetieewewe unafaa kwenye mashindano ya kula, unafaa kuwakilisha nchi
Duu, umenikumbusha wakati niko O-Level kule Tanga (TTS), jamaa walibishana kama kuna mtu anaweza maliza mikate 10. Msukuma mmoja toka Magu, Masanzakona, kijiji cha Gininiga akadai yeye anaweza. Ikaamuriwa kuwa akiweza kuila yote hamna deni ila, akishindwa kuimaliza mikate hiyo kumi basi anapaswa kulipa mikate hiyo pamoja na ile aloibakiza. Jamaa alituacha hoi kwa kuomba chai ya rangi kikombe cha nusu lita, alipoletewa alianza kama ifuatavyo.....Jamaa aliipiga ile mikate mikavumikavu wa kwanza hadi wa 8, akashushia na funda la chai.......jamaa aliyenunua ile mikate kuona hivyo akaamua kuipora ile 2 ilobaki ili asipate hasara....
.......nikumbushe Teti, ni nini?
Huo ni uwezo wako Mkuu wa kumenyuka
sasa Ushauriwe nini tena ?
Maana mtu akisema usile hivyo ni wazi
utakaa na njaa sasa huoni tena utajitesa.
Habari madoctor wa jf .mimi nina uwezo wa kumaliza chakula chenye ujazo wa kindo lita kumi,je! linaweza likawa tatizo lolote tumbon mwangu?.halafu cha ajabu sipati haja kubwa nina mwezi sasa...naomba ushaur.......
Alikuwa headmaster ana mwili mkubwa kama nyumba.
Habari madoctor wa jf .mimi nina uwezo wa kumaliza chakula chenye ujazo wa kindo lita kumi,je! linaweza likawa tatizo lolote tumbon mwangu?.halafu cha ajabu sipati haja kubwa nina mwezi sasa...naomba ushaur.......
Utoto raha sana
Huo ni uwezo wako Mkuu wa kumenyuka
sasa Ushauriwe nini tena ?
Maana mtu akisema usile hivyo ni wazi
utakaa na njaa sasa huoni tena utajitesa.
ndio ninaomba ushauri ili nipate tiba kakaHivi hujiulizi hicho chakula chote hicho kinaenda wapi kama hupati choo?