Kindoo cha lita 10 kikijaa msosi nina uwezo wa kula na kumaliza msos peke yangu.ushauri please.

Kindoo cha lita 10 kikijaa msosi nina uwezo wa kula na kumaliza msos peke yangu.ushauri please.

duh guiness world record inakuhusu ukatichkulie maujiko
 
Wewe utakua na minyoo mikubwa sana size ya chatu tumboni kwako
 
bro mbona tunatafuta wtu km nyie tuweke pale makumbusho au jumba la utalii maana wewe ni kivutio tosha
 
Habari madoctor wa jf .mimi nina uwezo wa kumaliza chakula chenye ujazo wa kindo lita kumi,je! linaweza likawa tatizo lolote tumbon mwangu?.halafu cha ajabu sipati haja kubwa nina mwezi sasa...naomba ushaur.......

Bado hujashusha kimba?
 
Ujafafanua mkuu ni kwa mlo mmoja au Milo tofauti na kwa nyakati tofauti
 
Kama hupati haja kubwa ni bora ukame unakuja so hicho unachokula kikikaa tumbo litajaa utapunguza matumizi
 
Back
Top Bottom