King daz, kijana alieonesha jumba lake la kifahari mtandaoni, source ya pesa zake ni nini haswa?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini

Huyu jamaa nasikia anamiliki king d auto spares, huenda labda anamiliki king d hotel ya sinza

Hizi pesa nyingi watu wanazipataje wakuu.🤔mtu mwenyewe haendani na pesa anazomiliki, mtu amevaa suti ila suruali amepiga mlege😁

Lugumi muonekano wake unaendana na pesa anazomiliki ila sio huyo king d

Nimeona YouTube, nyumba alioionesha kwa levo za kibongo bongo ni ya kifahari si mchezo, ghorofa ya juu kuna swimming.
 
Mabilioni yapi kwenye kajengo hako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…