Mabilioni yapi kwenye kajengo hako?Habarini
Huyu jamaa nasikia anamiliki king d auto spares, huenda labda anamiliki king d hotel ya sinza
Hizi pesa nyingi watu wanazipataje wakuu.🤔mtu mwenyewe haendani na pesa anazomiliki, mtu amevaa suti ila suruali amepiga mlege😁
Lugumi muonekano wake unaendana na pesa anazomiliki ila sio huyo king d
Nimeona YouTube, nyumba alioionesha kwa levo za kibongo bongo ni ya kifahari si mchezo, ghorofa ya juu kuna swimming.
View attachment 3179687
Inawezekana unamfahamu. Tupe abc zake tuwe inspired mkuu.MUHA huyo ana balaa
Mkuu, habari? Unatafutwa kwenye jukwaa la michezo, nasikia uliahidi kutoa tIGo iwapo Simba itaishinda KenGoldMafanikio hayaonyeshwi Kwa nguvu ivyo