King Kiba amjibu Icon wa Taifa Diamond Platinumz

Ananunua mpaka airtime uingereza, go diamond,usijali sana kuhusu maneno yao, kwani beef huletwa na CHUKI (fid Q bongo hip hop) fanya yako achana na wanaokuchukiaView attachment 440972
Mkuu unaelewa maana ya brand new? muulize boss wako kwanini hiyo nyimbo kaipeleka uingereza lkn Bongo haisikiki
 
Namba 1 & 2 ni kweli kabisa,na KESHAWAAMBIA KAMA WANATAKA BIFU BASI LIWE LIVE IJULIKANE KWA KILA MMOJA ILI TUTENGENEZE PESA,SIO MAFUMBO MITANDAONI.
 
Sina ugomvi na Diamond na wala sio mpenzi wa makundi haya mawili ila yatupasa kuelewa ukweli wa mambo kati ya hao manguli wawili. Kuna sehemu Bwana Nassib Abdul anakosea na inaonekana ni maamuma hasa kwenye masuala ya vito na dini yake anayoabudu. Hususan kwenye suala la uvaaji wa pete kwa wanaume wa kiislamu.
Kwa hili la pete naona Diamond amekosea sana. Kijana wa Kiislamu havai pete ya Dhahabu. Ni wanawake ndio wanaovaa pete ya dhahabu. Inavyoonekana elimu ya kiislamu kwa Diamond ni ndogo sana au hajapitia kabisa. Ni vyema akatumia muda huu kujielimisha badala ya kurumbana na mwenzake ambae yuko vizuri katika elimu. Ni kweli kabisa Ali hapaswi kuendelea na marumbano na mtu asiyetaka kuijua vizuri dini yake.
KWANINI WANAUME HARAMU KUVAA DHAHABU
 
Ebu Katie mawaidha misikitini uko umetuchosha na mawaidh yako
 
Huyu ana sanamu la fuvu LA kichwa LA mwanadamu ofsn kwake huyu anavaa Pete ya kijani
 
Hili jambo niliwahi kumuambia mtu fulani.
Nashangaa Diamond anajinasibu kama muislam safi ilhali anavaa dhahabu.
Nachefukwa sana ninapomuona mwanaume akivaa dhahabu.
 
Ebu Katie mawaidha misikitini uko umetuchosha na mawaidh yako
Swadakta ila ilmu ni popote pale. Hawa vijana inatakiwa waijue elimu ya dini ili waelewe makatazo yaliyopo kwenye dini yao. Sijui kama Diamond atajibu au kuweka mzaha kwenye dini kama hivi unavyojibu. Najua nitakuudhi wewe lakini ujumbe lazima umfikie popote pale alipo ili afahamu kosa lake. Najua pindi akielewa amefanya makosa ataomba radhi kama muungwana ukizingatia huo ndio msingi wa dini anayoiabudu.
 
Hili jambo niliwahi kumuambia mtu fulani.
Nashangaa Diamond anajinasibu kama muislam safi ilhali anavaa dhahabu.
Nachefukwa sana ninapomuona mwanaume akivaa dhahabu.
Kila mtu anamshangaa najua kwamba amepitiwa ila kwa tunaofahamu ni wajibu wetu kumuelimisha ili aachane na vitu vinavyoidhalilisha dini yake. Najua pindi akifahamu hatorudia.
 
Huyu nae katokea wapi ...........???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…