King Kiba amjibu Icon wa Taifa Diamond Platinumz

King Kiba amjibu Icon wa Taifa Diamond Platinumz

Huyo atakuwa ni Icon wa ukoo wenu sio taifa la watu wanaojitambua
 
Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
Ni kweli kabisa ukiangalia hata vijana kama MoDewji ana hela kuliko Baba yako
 
Hapo amevaa pete!!!??
15056662_331170897262349_6840282975670632448_n-1.jpg.pagespeed.ce.6jOHdgVryp.jpg
Kamwambie boss wako atoe yale mafuvu aliyoweka mezani ofisini kwake... Usijifanye huyajui
 
Washirikina wanajuana yeye alijuaje kama Pete ya kijani ni ushirikina, basi na yeye hayo mafuvu mawili kwenye meza yake ya nn , upuuzi mtupu
 
Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
Jitolee ww mfano , unamtoleaje mfano mwanaume mwenzio[emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Kamwambie boss wako atoe yale mafuvu aliyoweka mezani ofisini kwake... Usijifanye huyajui
Samahani sana. Najua hujaweza kuelewa nini nilichokuwa namaanisha. Mimi namshangaa huyo kijana anayemsema mwenzake aliyevaa pete ya kito kisichokuwa cha dhahabu. Mwenzake (Kiba) nafikiri anayo elimu nzuri ya kiislamu na ndio maana amevaa pete ya hicho kito.
Kwa ujumla namsikitikia sana Bwana Diamond. Hajaisoma vema elimu ya dini yake, na wanaomzunguka naona kama hawaelewi dini. Kijana wa kiume wa kiislamu huwezi kuvaa pete ya dhahabu!! Hebu durusu hii nukusi:
KWANINI WANAUME HARAMU KUVAA DHAHABU
 
Yana hakunaga mada zinazoniboa kama hizi za kila siku mala diamond mala kiba!! Jamani hiv hizi tim sijui hata zilitokea wap? Yaan kw macho yng nimeshuhudia jamaa wanazozana et kisa kumsema vibaya kiba" labda niulize tu swal moja, ya mungu mengi, mfano leo hii kiba au diamond kafa mtaacha kushabikia muziki nyinyi teams? Hupotayar kusikiliza nyimbo ya mwenzio hata kama nzur et kisa team flan kwel!! Mnakosea sna! Msanii anaimba ili upende nyimbo yke na wala c umpende yeye, tunardisha mziki nyuma wasanii wengine wanashindwa kuwika sababu ya matimu yenu! Tim kiba tim diamond haya samr, timbulo, neiba na wengne washabikiwe na nani? Ni ujinga sana huu! Penda muziki acha kupenda penda watu coz wapo wa kuwapnda! Wazazi wao na wake zao wanatosha kuwapnda!
 
Samahani mkuu,na wote niliowakwaza, ila huyo jamaa kanikera sana kumuingiza YESU kwenye upuuzi.
  1. Acha upuuzi wewe,we yesu ni nani yako mpka nisimuongelee,we mahusiano yangu na yesu unayajua....!??unajifanya kumjua saana,piga kimya wewe!!
 
Back
Top Bottom