Kiba ana miaka 40 according to mtoa madaKumbe 1986 na 1989 tofauti yake ni miaka mitano?!
Siku nyingine ongea kitu unachokijua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiba ana miaka 40 according to mtoa madaKumbe 1986 na 1989 tofauti yake ni miaka mitano?!
Siku nyingine ongea kitu unachokijua.
justin bieber ana miaka 21 amemzidi hela mpaka rais wake trumpKumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
Umekula cha kula gani mkuu naona kama umevimbiwa ivijustin bieber ana miaka 21 amemzidi hela mpaka rais wake trump
wewe mjui?Unamjua baba ake yesu tuanzie hapo
justin bieber ana miaka 21 amemzidi hela mpaka rais wake trump
hahahahahahahahahahahaKwani kuna shida gani!?yesu anamiaka zaidi ya 2000 mpka Leo bado anakaa kwa babake itakuwa kiba??
Msanii wa k'ko King Kiba anaetarajia kufikisha miaka 40 hapo kesho amejibu kauli ya Icon wa Taifa, Mr Oxygen, Chibu Dangote. Simbaaaaa, Diamond Platinumz kuhusu pete ya kijani wiki iliopita Diamond alinukuliwa kwny XXL akisema “Mimi sina matatizo na watu ndio maana wakijaribu kushindana na mimi huwa wanashindwa. Hata ukiniangalia sina hata pete ya kijani kwenye vidole vyangu.”
Upande wa Alikiba leo ameweka picha kwenye mtandao wa Instagram na kuandika, caption “Pete Ya Kijani
[HASHTAG]#BirthdayLoading29thNoV[/HASHTAG] [HASHTAG]#KingKiba[/HASHTAG].”
![]()
![]()
Kwa hiyo mtoa mada kama angesema wewe ni mkewe ingekuwa ni kweli kisa mtoa mada amesema?!Kiba ana miaka 40 according to mtoa mada
Ila kiba kaenda age miaka 40 afu bado unaishi kwa wazazi daah aibu kwl kwlKwa hiyo mtoa mada kama angesema wewe ni mkewe ingekuwa ni kweli kisa mtoa mada amesema?!
Duh so alimsema shamsa ford auKiki zinapatikana Wasafi tu, tumemzoea na wenzake Hbaba, Vitobo ya mashavu, ma'ex wote walewale..
Chibu Dangote hakumtaja mtu, ila ye katafuta hiyo pete ili ionekane aliongelewa yeye..
HIV huwa mnafikiria kabla nyi team domo?Kumbe mtu anaweza kukuzidi kiumri lkn ukaja ukamzidi hela mfano kiba anamzidi domo kama miaka mitano iv lkn kimkwanja kiba anakimbizwa balaaa
sio za kijaniHapo amevaa pete!!!??
![]()
Najua Diamond haelewi vema dini ya Kiislamu. Kama angalijua dini yake inatamka nini kuhusu pete asingelizunguza kabisa kuhusu hicho kitu.sio za kijani