Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,250
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Nilipoona avatar nikajua ni yule team kiba amekubali kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, kumbe ni wewe mkuu!!!Mashemeji zangu watoto wa kariakoo mnatia huruma! Najiskia niwachane ili mnuneeee [emoji23]
Naona hizi shoo za mwisho wa mwaka tumewashikisha adabu [emoji23] [emoji23]
Sisi ndio WCB we get it custom, nyinyi watoto wa kariakoo you are just customers..
Kasi tunayokuja nayo sasa nawashauri mjenge fensi pale kariakoo! Ila msisahau WCB we digging tunnels.. You will be surprised when we get the money right up under you.. [emoji123] [emoji123]
# WCB # WinnersCycle
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji1] [emoji1] [emoji1] Nilipoona avatar nikajua ni yule team kiba amekubali kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, kumbe ni wewe mkuu!!!
Mbona umebadilisha identify[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ni mimi mkuu, nimeiba kidogo avatar ya wifey..
Sijabadilisha Mkuu! That's The Bold..Mbona umebadilisha identify
nilidhani nifahMashemeji zangu watoto wa kariakoo mnatia huruma! Najiskia niwachane ili mnuneeee [emoji23]
Naona hizi shoo za mwisho wa mwaka tumewashikisha adabu [emoji23] [emoji23]
Sisi ndio WCB we get it custom, nyinyi watoto wa kariakoo you are just customers..
Kasi tunayokuja nayo sasa nawashauri mjenge fensi pale kariakoo! Ila msisahau WCB we digging tunnels.. You will be surprised when we get the money right up under you.. [emoji123] [emoji123]
# WCB # WinnersCycle
[emoji1] [emoji1] [emoji1]nilidhani nifah
ningeshangaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sidhani pia kama ni sahihi kufanya show kwenye uwanja tena ambao hauna hadhi, angalau pale Taifa unaweza kueleweka. Music unatakiwa uwe kwenye kiwanja sahihi, unapata starehe, ukumbi uko na conducive environment. Kwa bahati mbaya miji yetu mingi haina kumbi kubwa na za kisasa.sasa mtu unaenda kufanya show sebulen kwan pasijae watu 50 tu kumejaa [emoji125][emoji125]
View attachment 450334View attachment 450336View attachment 450337View attachment 450338View attachment 450339View attachment 450340Ndani ya perugina club no janja janja aisee ni muziki mzuri tuu huku [HASHTAG]#yooo[/HASHTAG]
Shoo hii mbona kama nyuma ya nyumba ya mtu hahahaha
Daaaahh yani hayo mandhari hayana hata hadhi.. Kisehemu chenyewe space ndogooo..
Wooooyooooo. ..WCB ni habari nyingine. ....team kibakuli wajipange upyaMashemeji zangu watoto wa kariakoo mnatia huruma! Najiskia niwachane ili mnuneeee [emoji23]
Naona hizi shoo za mwisho wa mwaka tumewashikisha adabu [emoji23] [emoji23]
Sisi ndio WCB we get it custom, nyinyi watoto wa kariakoo you are just customers..
Kasi tunayokuja nayo sasa nawashauri mjenge fensi pale kariakoo! Ila msisahau WCB we digging tunnels.. You will be surprised when we get the money right up under you.. [emoji123] [emoji123]
# WCB # WinnersCycle