King Kiba anafunga Mwaka Leo ndani ya capital city Dodoma

King Kiba anafunga Mwaka Leo ndani ya capital city Dodoma

Mashemeji zangu watoto wa kariakoo mnatia huruma! Najiskia niwachane ili mnuneeee [emoji23]

Naona hizi shoo za mwisho wa mwaka tumewashikisha adabu [emoji23] [emoji23]

Sisi ndio WCB we get it custom, nyinyi watoto wa kariakoo you are just customers..
Kasi tunayokuja nayo sasa nawashauri mjenge fensi pale kariakoo! Ila msisahau WCB we digging tunnels.. You will be surprised when we get the money right up under you.. [emoji123] [emoji123]

# WCB # WinnersCycle
[emoji1] [emoji1] [emoji1] Nilipoona avatar nikajua ni yule team kiba amekubali kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu, kumbe ni wewe mkuu!!!
 
Kweli king 'K' hatari sana ndani ya club duh...show hizi ndogo ndongo le mutuz bebezz you know he love it..amemkataza msanii Darassa
 
Mashemeji zangu watoto wa kariakoo mnatia huruma! Najiskia niwachane ili mnuneeee [emoji23]

Naona hizi shoo za mwisho wa mwaka tumewashikisha adabu [emoji23] [emoji23]

Sisi ndio WCB we get it custom, nyinyi watoto wa kariakoo you are just customers..
Kasi tunayokuja nayo sasa nawashauri mjenge fensi pale kariakoo! Ila msisahau WCB we digging tunnels.. You will be surprised when we get the money right up under you.. [emoji123] [emoji123]

# WCB # WinnersCycle
nilidhani nifah
ningeshangaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hajafanya show kaacha vurugu tu watu wanadai kiingilio chao
 
Ali Kiba bado anajishushia thamani kunako Anga za Bongo.Yeye ni msanii Legendary inatakiwa Show zinaandaliwa kikamilifu ndiyo unahudhuria.Sasa Washabiki huwa tunafuata upepo tukiona hatutendei haki tunamgwaya
 
sasa mtu unaenda kufanya show sebulen kwan pasijae watu 50 tu kumejaa [emoji125][emoji125]
Sidhani pia kama ni sahihi kufanya show kwenye uwanja tena ambao hauna hadhi, angalau pale Taifa unaweza kueleweka. Music unatakiwa uwe kwenye kiwanja sahihi, unapata starehe, ukumbi uko na conducive environment. Kwa bahati mbaya miji yetu mingi haina kumbi kubwa na za kisasa.
 
Jeshi La mtu mmoja na tunasubir [HASHTAG]#FUNGAMWAKA[/HASHTAG] NA KING KIBA povu litachanganyika na kodjooooo...
 
Shoo hii mbona kama nyuma ya nyumba ya mtu hahahaha


Daaaahh yani hayo mandhari hayana hata hadhi.. Kisehemu chenyewe space ndogooo..

Naona inafanana ya mondi I ile ya zimbambwe aliofanya asubuhi kwenye shamba la watu
 
Mashemeji zangu watoto wa kariakoo mnatia huruma! Najiskia niwachane ili mnuneeee [emoji23]

Naona hizi shoo za mwisho wa mwaka tumewashikisha adabu [emoji23] [emoji23]

Sisi ndio WCB we get it custom, nyinyi watoto wa kariakoo you are just customers..
Kasi tunayokuja nayo sasa nawashauri mjenge fensi pale kariakoo! Ila msisahau WCB we digging tunnels.. You will be surprised when we get the money right up under you.. [emoji123] [emoji123]

# WCB # WinnersCycle
Wooooyooooo. ..WCB ni habari nyingine. ....team kibakuli wajipange upya
 
Back
Top Bottom