King Kiba Tumia Akili, " Pop It In Na Yoooo" Ni Maneno Ya Kijinga Kwenye Nyimbo Zako.Badilika

King Kiba Tumia Akili, " Pop It In Na Yoooo" Ni Maneno Ya Kijinga Kwenye Nyimbo Zako.Badilika

Halafu nenda mihogo beach party acha kujipendekeza kwa king kibaaaa yooooooohhh!
 
Tumkosoe vizuri kijana wetu..kusema yoo siyo dhambi. Allykiba ni msanii mzuri kwa Tanzania. Kwangu mm yupo kumi bora.. Hajamfikia diamond ila kajitahid kujifananisha na Diamond angalau apate kuongelewa. Tumshauri kijana wetu vizuri
 
Na yule aneimba WCB nae aache ni ujingaaa!
WCB Wasafi Kama Kampuni Rasmi Kisheria Ina,

- Wasafi Records

- Wasafi Record Label

- Wasafi Clothings Line

- Wasafi Kama Signature Kwenye Nyimbo Zao

- Juzi Tumesikia Sallam Anasema Wanataka Kujenga Jengo La Ghorofa 7 Kama WCB Wasafi Block

- Unaiona Tofauti Iliyopo Hapo.
 
WCB Wasafi Kama Kampuni Rasmi Kisheria Ina,

- Wasafi Records

- Wasafi Record Label

- Wasafi Clothings Line

- Wasafi Kama Signature Kwenye Nyimbo Zao

- Juzi Tumesikia Sallam Anasema Wanataka Kujenga Jengo La Ghorofa 7 Kama WCB Wasafi Block

- Unaiona Tofauti Iliyopo Hapo.
Sasa mnataka kila kitu aige kwenu? Learn to appreciate even little things, kama hupendi hujalazimishwa kuwa shabiki wake! Sisi tunapenda anavoimba yooooooo! So mpotezeeni nendeni mihogo beach party!
 
Tumkosoe vizuri kijana wetu..kusema yoo siyo dhambi. Allykiba ni msanii mzuri kwa Tanzania. Kwangu mm yupo kumi bora.. Hajamfikia diamond ila kajitahid kujifananisha na Diamond angalau apate kuongelewa. Tumshauri kijana wetu vizuri
Ninachojaribu Kushauri Hapa Ni Angalau Alikiba Atafute Utambulisho Mmoja Rasmi, Tumjue Kwa Hilo - Mfano Kwa Sasa Kashaachana Na Pop It In, Anatumia Tena Yoooo

- Sasa Nini Hii ?
 
Habari Wadau Wa Jukwaa Hili,

- Leo Nimeona Niongelee Kuhusu Huyu Msanii Anayejichukulia Ni Msanii Mkubwa Sana Lakini Hawajielewi Hususani Kwenye Mambo Ya Msingi Zaidi Ya Kutanguliza Umwinyi

- Tangu Ameanza Kuimba Tumekuwa Tukisikia Anatamka Maneno ........" Pop It In The Tanzanian Boy....." Sasa Wajuvi Tunajiuliza Hii Papleeee Inatoka Wapi Na Kwanini Anataja Taja Mambo Ya Ujinga Bila Malengo Yoyote

- Anazidiwa Hata Na Wakongo Wanaotaja Majina Ili Wapate Pesa Kutoka Kwao, Sasa Wewe Alikiba Unashindwa Kutaja Brand Za Maana Kwenye Kazi Zako , Unabaki Kutapa Tapa Tu Na Akili Ndogo

- Una Lebo Kama Unavyosema Inaitwa King's Music, Mara Una Kundi Ambalo Uko Wewe Na Mdogo Wako Abdu Kiba Mnaloliita Kiba Square, Kutaja Vyote Hivyo Kwako Unaona Haifai Siku Hizi Umebadilika Unataja Yoooooooo - Au Yeah Kama Mwenyewe Unavyosema. Sasa Nini Hiki

- Alikiba Acha Akili Ndogo Badilika, Iga Mambo Mazuri Hata Kwa Maadui Zako Siyo Unajifanya Hutaki Kuiga Then Unabaki Na Akili Ndogo Yako Maana Najua Huwezi Kuishi Na Watu.Ahsant
Me hata sijakuelewa.
 
Sasa mnataka kila kitu aige kwenu? Learn to appreciate even little things, kama hupendi hujalazimishwa kuwa shabiki wake! Sisi tunapenda anavoimba yooooooo! So mpotezeeni nendeni mihogo beach party!
Anyway Mfano Mwingine Kama Huo Hujaupenda - PKP Ya Omary Nyembo,

- PKP Record Label

- PKP Kama Kampuni

- PKP Kama Signature Kwenye Nyimbo Zake

- PKP Anaweza Kuifanyia Chochote Kile Cha Msingi Kabisa.
 
Habari Wadau Wa Jukwaa Hili,

- Leo Nimeona Niongelee Kuhusu Huyu Msanii Anayejichukulia Ni Msanii Mkubwa Sana Lakini Hawajielewi Hususani Kwenye Mambo Ya Msingi Zaidi Ya Kutanguliza Umwinyi

- Tangu Ameanza Kuimba Tumekuwa Tukisikia Anatamka Maneno ........" Pop It In The Tanzanian Boy....." Sasa Wajuvi Tunajiuliza Hii Papleeee Inatoka Wapi Na Kwanini Anataja Taja Mambo Ya Ujinga Bila Malengo Yoyote

- Anazidiwa Hata Na Wakongo Wanaotaja Majina Ili Wapate Pesa Kutoka Kwao, Sasa Wewe Alikiba Unashindwa Kutaja Brand Za Maana Kwenye Kazi Zako , Unabaki Kutapa Tapa Tu Na Akili Ndogo

- Una Lebo Kama Unavyosema Inaitwa King's Music, Mara Una Kundi Ambalo Uko Wewe Na Mdogo Wako Abdu Kiba Mnaloliita Kiba Square, Kutaja Vyote Hivyo Kwako Unaona Haifai Siku Hizi Umebadilika Unataja Yoooooooo - Au Yeah Kama Mwenyewe Unavyosema. Sasa Nini Hiki

- Alikiba Acha Akili Ndogo Badilika, Iga Mambo Mazuri Hata Kwa Maadui Zako Siyo Unajifanya Hutaki Kuiga Then Unabaki Na Akili Ndogo Yako Maana Najua Huwezi Kuishi Na Watu.Ahsant
Acha Maneno weka MUZIKIII
 
Leo Alikiba Anauza Kofia Zinaitwa KingKiba

- Pop It In ( Papleee ) Ni Nini ?

- Kiba Spuare Ni Kitu Gani ?

- King's Music Ni Kitu Gani,

- Na Yoooo Ni Nini ?


Huu Ni Mpuyango Og Kwa King Kiba.

Pengine kweli una cha kumshauri lakini pia kuna vitu havipo sawa hapa ;
Kwenye kiba square fuatilia kidogo ujue ukweli na chanzo chake.

Hiyo pop it in nayo huenda haikukeri ila yeye ndiye hukukera kwa kuitamka kiufundi hadi unasikia Papreeee.....
Yeah ni kibwagizo kama vilivyo vingine ambavyo kisanaa havimzuiii kumfanya awe mwanasanaa si kila kitu katika sanaa kinaingiza pesa ndugu vingine burudani inafika mahali huchangamsha watu kama Rayvany ambaye ameamua kukiweka kwenye wimbo wake.


Tusidanganyane kuwa tunawashauri wanamuziki wetu kwa kebehi za kiwango hicho ulichokitumia.....
 
Hebu tuwekezeni kwa Jux,Ben po,bel 9 na darasa wawe km Diamond. Ally tuna promo sana lakini siyo msanii mkali
 
Hebu tuwekezeni kwa Jux,Ben po,bel 9 na darasa wawe km Diamond. Ally tuna promo sana lakini siyo msanii mkali
Nendeni mkaweke hiyo promo kiba hajawahi kuwaomba mmpigie promo, nyie watu wa domo mnashidaaaaa
 
Habari Wadau Wa Jukwaa Hili,

- Leo Nimeona Niongelee Kuhusu Huyu Msanii Anayejichukulia Ni Msanii Mkubwa Sana Lakini Hawajielewi Hususani Kwenye Mambo Ya Msingi Zaidi Ya Kutanguliza Umwinyi

- Tangu Ameanza Kuimba Tumekuwa Tukisikia Anatamka Maneno ........" Pop It In The Tanzanian Boy....." Sasa Wajuvi Tunajiuliza Hii Papleeee Inatoka Wapi Na Kwanini Anataja Taja Mambo Ya Ujinga Bila Malengo Yoyote

- Anazidiwa Hata Na Wakongo Wanaotaja Majina Ili Wapate Pesa Kutoka Kwao, Sasa Wewe Alikiba Unashindwa Kutaja Brand Za Maana Kwenye Kazi Zako , Unabaki Kutapa Tapa Tu Na Akili Ndogo

- Una Lebo Kama Unavyosema Inaitwa King's Music, Mara Una Kundi Ambalo Uko Wewe Na Mdogo Wako Abdu Kiba Mnaloliita Kiba Square, Kutaja Vyote Hivyo Kwako Unaona Haifai Siku Hizi Umebadilika Unataja Yoooooooo - Au Yeah Kama Mwenyewe Unavyosema. Sasa Nini Hiki

- Alikiba Acha Akili Ndogo Badilika, Iga Mambo Mazuri Hata Kwa Maadui Zako Siyo Unajifanya Hutaki Kuiga Then Unabaki Na Akili Ndogo Yako Maana Najua Huwezi Kuishi Na Watu.Ahsant
Xmass imekuja vibaya sana hii no money no mood yoooooh!
 
Back
Top Bottom