DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
- Thread starter
- #21
jamaa mzuri ila kashndwa ku savaivu kwenye game..
Uzuri wa msanii kazi.
Kafunikwa mbali sana na BEN POL
kwahiyo jamaa hana kazi za kutosha?
Tafuta wimbo wake unaitwa "WANAHOFIA"
ushushe wap.waptrick.com nafikiri mwenyewe atakuwa amekujibu vizuri humo wewe mvivu wa kufikiri
